Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Logarusic: Wachezaji ‘mbumbumbu’

>Kocha wa Simba, Zravok Logarusic amesema wachezaji wengi Tanzania, hawana elimu ya mpira, lakini ni wepesi wa kulewa sifa kwa kujiona ‘masupa staa’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Logarusic: Sina utani na wachezaji magoigoi

Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amesema yeye siyo mkali bali wachezaji wengi wa Tanzania wanapenda kusukumwa sukumwa.

 

11 years ago

GPL

Logarusic awapa mamilioni wachezaji wa Simba

Kocha wa Simba Zradvko Logarusic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Zradvko Logarusic ameanzisha mfumo mpya wa kuwakata wachezaji fedha ambapo mwisho wa msimu utawaingizia wachezaji wake mamilioni ya fedha. Mamilioni hayo yatakayopatikana kupitia mfumo huo aliouanzisha yatatumiwa na wachezaji wake kununua vitu wanavyotaka.
Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa, Logarusic amekuwa mkali na kila mchezaji anayefanya...

 

10 years ago

Mwananchi

Bungeni wasipelekwe mbumbumbu-Mjumbe

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Deogratias Ntukamazina amewataka wenzake kuunga mkono Rasimu ya Katiba inayotaka kiwango cha chini cha elimu kwa wagombea ubunge kuwa kidato cha nne ili kuepuka kuingiza mambumbumbu bungeni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

WANAOPINGA RASIMU YA KATIBA: Wajinga na mbumbumbu

HAKUNA shaka kwamba wajumbe walio wengi wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK) wanaipinga rasimu iliyowasilishwa mezani na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba. Sababu kubwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbinu za kumaliza mbumbumbu shule za msingi

>Tatizo la wanafunzi wa shule za msingi wakiwemo wahitimu wa darasa la saba kutojua kusoma, kuandika na kuhesabu, linazidi kushika kasi kiasi cha kuwashughulisha wadau wengi wa elimu nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

ELIMU YA MICHEZO: Makocha Tanzania mbumbumbu

>Elimu ndogo ya makocha wa Tanzania imetajwa kuwa sababu ya kufanya vibaya kwenye michezo ya kimataifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Sitaki mawaziri mbumbumbu

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa iwapo wananchi wa Zanzibar watamchagua kuwa Rais, hatahakikisha baraza lake la mawaziri linaundwa na watu wenye sifa na uwezo na hakuna mbumbumbu atakayeteuliwa kushika  wadhifa huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni dhahiri Serikali haijalivalia njuga tatizo la wahitimu mbumbumbu

Imani ya Watanzania wengi ni kuwa Serikali, kupitia vyombo vunavyosimamia sekta ya elimu, imekuwa ikijipanga vilivyo kuondoa madudu mbalimbali yanayoitia doa sekta hiyo mama.

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]

The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani