Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bungeni wasipelekwe mbumbumbu-Mjumbe

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Deogratias Ntukamazina amewataka wenzake kuunga mkono Rasimu ya Katiba inayotaka kiwango cha chini cha elimu kwa wagombea ubunge kuwa kidato cha nne ili kuepuka kuingiza mambumbumbu bungeni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe alilia Ipad bungeni

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kutoa vioja kwa kuibua hoja ikiwemo ile ya kutaka simu za Ipad zenye uwezo mkubwa wa kufanya shughuli mbalimbali za kimawasiliano.  Aliyetoa wazo...

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe amwaga machozi Bungeni

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba na Kadhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shehe Hamid Masoud Jongo jana alimwaga machozi bungeni kwa kile alichodai ni masikitiko yake kuona waasisi wa Taifa wanatukanwa na vijana wadogo wajumbe wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe alilia mavazi ya Kimasai yaingie bungeni

>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Esther Juma, ametaka kanuni za Bunge hilo, ziridhie vazi rasmi la watu wa jamii ya Kimasai katika Bunge hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjumbe Arfi arudisha hoja za Ukawa bungeni

Mjumbe wa Bunge Maalumu, Said Arfi amelitikisa Bunge jana baada ya kuwasilisha hoja sawa na zile zinazosimamiwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic: Wachezaji ‘mbumbumbu’

>Kocha wa Simba, Zravok Logarusic amesema wachezaji wengi Tanzania, hawana elimu ya mpira, lakini ni wepesi wa kulewa sifa kwa kujiona ‘masupa staa’.

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Sitaki mawaziri mbumbumbu

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa iwapo wananchi wa Zanzibar watamchagua kuwa Rais, hatahakikisha baraza lake la mawaziri linaundwa na watu wenye sifa na uwezo na hakuna mbumbumbu atakayeteuliwa kushika  wadhifa huo.

 

11 years ago

Mwananchi

ELIMU YA MICHEZO: Makocha Tanzania mbumbumbu

>Elimu ndogo ya makocha wa Tanzania imetajwa kuwa sababu ya kufanya vibaya kwenye michezo ya kimataifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbinu za kumaliza mbumbumbu shule za msingi

>Tatizo la wanafunzi wa shule za msingi wakiwemo wahitimu wa darasa la saba kutojua kusoma, kuandika na kuhesabu, linazidi kushika kasi kiasi cha kuwashughulisha wadau wengi wa elimu nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

WANAOPINGA RASIMU YA KATIBA: Wajinga na mbumbumbu

HAKUNA shaka kwamba wajumbe walio wengi wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK) wanaipinga rasimu iliyowasilishwa mezani na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba. Sababu kubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani