Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe alilia Ipad bungeni

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kutoa vioja kwa kuibua hoja ikiwemo ile ya kutaka simu za Ipad zenye uwezo mkubwa wa kufanya shughuli mbalimbali za kimawasiliano.  Aliyetoa wazo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe alilia mavazi ya Kimasai yaingie bungeni

>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Esther Juma, ametaka kanuni za Bunge hilo, ziridhie vazi rasmi la watu wa jamii ya Kimasai katika Bunge hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe amwaga machozi Bungeni

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba na Kadhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shehe Hamid Masoud Jongo jana alimwaga machozi bungeni kwa kile alichodai ni masikitiko yake kuona waasisi wa Taifa wanatukanwa na vijana wadogo wajumbe wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Bungeni wasipelekwe mbumbumbu-Mjumbe

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Deogratias Ntukamazina amewataka wenzake kuunga mkono Rasimu ya Katiba inayotaka kiwango cha chini cha elimu kwa wagombea ubunge kuwa kidato cha nne ili kuepuka kuingiza mambumbumbu bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe Arfi arudisha hoja za Ukawa bungeni

Mjumbe wa Bunge Maalumu, Said Arfi amelitikisa Bunge jana baada ya kuwasilisha hoja sawa na zile zinazosimamiwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Mtanzania

Terry alilia penalti

John-Terry_3019132KIEV, Urusi

BEKI wa Chelsea, Mwingereza John Terry, amedai kuwa timu yake ilinyimwa penalti katika mchezo wa juzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) dhidi ya Dynamo Kiev ambapo timu hizo hazikufungana.

Katika mchezo huo wa kundi G uliopigwa Olympic Stadium nchini Urusi, kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas, aliangushwa ndani ya eneo la hatari na mlinzi wa Dynamo Kiev, Sergiy Rybalka, lakini mwamuzi Damir Skomina, aliamuru mchezo uendelee, jambo ambalo Terry anahisi si sahihi.

“Bado tupo vizuri,...

 

10 years ago

GPL

MAINDA ALILIA MTOTO

Brighton Masalu
STAA ‘mtulivu’ wa uigizaji Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ameibuka na kudai kuwa kama mwanamke aliyekamilika, anasikitishwa sana kwa kutopata mtoto hasa kutokana na kunyoshewa vidole na maneno mengi juu ya suala hilo. Staa wa Bongo Movie , Ruth Suka ‘Mainda’ katika pozi. Alisema kutokana na kukosa mtoto wakati mwingine hujisikia vibaya kiasi kwamba hutamani kuwabeba watoto wa...

 

10 years ago

Habarileo

RC alilia shule ya Wahadzabe isiingiliwe

MKUU wa mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone ameiomba Wizara ya Elimu na Ufundi kuitambua shule ya msingi ya bweni katika kijiji cha Munguli, wilayani Mkalama mkoani Singida kuwa ni shule maalumu kwa watoto wa jamii ya Wahadzabe tu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwijage alilia fedha za katiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Charles Mwijage, amesema serikali imetumia fedha nyingi katika mchakato wa katiba badala ya kujielekeza kutatua kero sugu za wananchi. Mwijage ambaye pia ni mbunge...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani