Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC alilia shule ya Wahadzabe isiingiliwe

MKUU wa mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone ameiomba Wizara ya Elimu na Ufundi kuitambua shule ya msingi ya bweni katika kijiji cha Munguli, wilayani Mkalama mkoani Singida kuwa ni shule maalumu kwa watoto wa jamii ya Wahadzabe tu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Nyumba ya asili ya kabila la WAHADZABE!

LIMU

 Jamii ya Kihadzabe wakiwa nje ya nyumba yao katika kijiji cha Kipamba kata ya Mwangeza wilaya  ya Mkalama mkoa wa Singida. (Picha na Nathaniel Limu).

 

11 years ago

Mwananchi

Wahadzabe walia na hujuma za wanaume

Katika jamii nyingi, hasa za mijini, ni kawaida wanawake na wanaume kushirikiana katika shughuli mbalimbali za kiuchumi.

 

10 years ago

Dewji Blog

RC Singida ataka jamii ya Wahadzabe itambuliwe

DSC03400

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile (wa kwanza kushoto) akisoma taarifa yake mbele ya Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone juu ya ujenzi wa mabweni mawili na nyumba ya matroni ambayo iligharimu zaidi ya shilingi 59 milioni.

Na Nathaniel Limu, Mkalama

MKUU  wa Mkoa wa Singida Dr. Parseko Vicent Kone, ameiomba serikali kupitia Wizara ya elimu na Ufundi, kuitambua Shule ya msingi ya bweni ya kijiji cha  Munguli kuwa ni shule  maalum tu, kwa...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUWALINDA WAHADZABE - WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kuyalinda makabila madogo nchini yakiwemo ya Wahdazabe na Wasandawe ambayo yanategemea rasilmali misitu kwa maisha yao na ustawi wao.
“Tutakuwa tunafanya makosa kama tutawanyang’anya rasilmali misitu makabila madogo hapa nchini kama vile Wahadzabe, Wandorobo na Wasandawe kwani ndiyo rasilami pekee inayowawezesha wapate chakula cha kutosha,” alisema.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Novemba 11, 2014) wakati akifungua Kongamano la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali kuwalinda Wahadzabe — Waziri Mkuu

PG4A9594

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia  wakati alipofungua Kongamano la Ufugaji Nyuki Barani Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Novemba 11, 2014.

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kuyalinda makabila madogo nchini yakiwemo ya Wahdazabe na Wasandawe ambayo yanategemea rasilmali misitu kwa maisha yao na ustawi wao.

“Tutakuwa tunafanya makosa kama tutawanyang’anya rasilmali misitu makabila madogo hapa nchini kama vile Wahadzabe, Wandorobo na...

 

10 years ago

Habarileo

Wahadzabe, Wasandawe wataendelea kulindwa, asema Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kuyalinda makabila madogo nchini, yakiwemo ya Wahdazabe na Wasandawe ambayo yanategemea rasilimali misitu kwa maisha yao na ustawi wao.

 

10 years ago

GPL

MAINDA ALILIA MTOTO

Brighton Masalu
STAA ‘mtulivu’ wa uigizaji Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ameibuka na kudai kuwa kama mwanamke aliyekamilika, anasikitishwa sana kwa kutopata mtoto hasa kutokana na kunyoshewa vidole na maneno mengi juu ya suala hilo. Staa wa Bongo Movie , Ruth Suka ‘Mainda’ katika pozi. Alisema kutokana na kukosa mtoto wakati mwingine hujisikia vibaya kiasi kwamba hutamani kuwabeba watoto wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Terry alilia penalti

John-Terry_3019132KIEV, Urusi

BEKI wa Chelsea, Mwingereza John Terry, amedai kuwa timu yake ilinyimwa penalti katika mchezo wa juzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) dhidi ya Dynamo Kiev ambapo timu hizo hazikufungana.

Katika mchezo huo wa kundi G uliopigwa Olympic Stadium nchini Urusi, kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas, aliangushwa ndani ya eneo la hatari na mlinzi wa Dynamo Kiev, Sergiy Rybalka, lakini mwamuzi Damir Skomina, aliamuru mchezo uendelee, jambo ambalo Terry anahisi si sahihi.

“Bado tupo vizuri,...

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani