Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe alilia mavazi ya Kimasai yaingie bungeni

>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Esther Juma, ametaka kanuni za Bunge hilo, ziridhie vazi rasmi la watu wa jamii ya Kimasai katika Bunge hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe alilia Ipad bungeni

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kutoa vioja kwa kuibua hoja ikiwemo ile ya kutaka simu za Ipad zenye uwezo mkubwa wa kufanya shughuli mbalimbali za kimawasiliano.  Aliyetoa wazo...

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe amwaga machozi Bungeni

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba na Kadhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shehe Hamid Masoud Jongo jana alimwaga machozi bungeni kwa kile alichodai ni masikitiko yake kuona waasisi wa Taifa wanatukanwa na vijana wadogo wajumbe wa Bunge hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Bungeni wasipelekwe mbumbumbu-Mjumbe

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Deogratias Ntukamazina amewataka wenzake kuunga mkono Rasimu ya Katiba inayotaka kiwango cha chini cha elimu kwa wagombea ubunge kuwa kidato cha nne ili kuepuka kuingiza mambumbumbu bungeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjumbe Arfi arudisha hoja za Ukawa bungeni

Mjumbe wa Bunge Maalumu, Said Arfi amelitikisa Bunge jana baada ya kuwasilisha hoja sawa na zile zinazosimamiwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

10 years ago

Habarileo

Mafunzo ya walimu nusura yaingie dosari

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia.MAFUNZO maalumu ya kuboresha ufundishaji masomo kwa shule za sekondari mkoani Dodoma nusura yaingie dosari mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia baada ya walimu kudai hawajalipwa tangu kuanza kwa mafunzo hayo.

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI

Na Mwandishi wetuMbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita 'PRIDE' yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AFUNIKA NGOMA YA KIMASAI!

Richard bukos MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli ameonesha ufundi wa hali ya juu kwa kucheza ngoma ya kimasai maarufu kwa jina la Osingilio. Magufuli akicheza ngoma ya Kimasai. Magufuli alionesha ufundi huo juzi Jumanne alipokuwa amekwenda kufanya kampeni katika wilaya Monduli, mkaoani Arusha, ambako ni ngome ya mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa anayeungwa mkono...

 

11 years ago

GPL

CHUCHU AJIFUNZA MILA ZA KIMASAI, AAIBIKA!

Staa wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans. Stori: Imelda mtema
STAA wa sinema za Kibongo, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufundishwa mila za kimasai na kusema ameelewa, muda mchache baadaye akachemka.…

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA KIMASAI WARIDHIA KUACHA UKEKETAJI

Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro. Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) kabla ya kutafsiri mada yake kwa wanasemina. Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani