MAGUFULI AFUNIKA NGOMA YA KIMASAI!
![](http://api.ning.com:80/files/vOTW6a5PmQTEqtzxSCLcgQFpUsqp7PvZK09yF4s-qts6GrCaApLgXdbeTKF6*L3jol*Gr5kx958GK-aszjD48fR4CnHyFj9m/raiswetuhyoo.jpg?width=650)
Richard bukos MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli ameonesha ufundi wa hali ya juu kwa kucheza ngoma ya kimasai maarufu kwa jina la Osingilio. Magufuli akicheza ngoma ya Kimasai. Magufuli alionesha ufundi huo juzi Jumanne alipokuwa amekwenda kufanya kampeni katika wilaya Monduli, mkaoani Arusha, ambako ni ngome ya mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa anayeungwa mkono...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLMAGUFULI AFUNIKA MBEYA
9 years ago
GPLMAGUFULI AFUNIKA CHATO LEO
9 years ago
Habarileo07 Sep
Dk Magufuli afunika Moro, ashusha neema
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amesema Serikali atakayoiongoza itajenga viwanda vikubwa, vya kati na vidogo ili kuongeza ajira na mapato ya Serikali, huku akiwaahidi wakazi wa Morogoro kufufua viwanda vyao.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-akimwaga-sera-viwanja-vya-moshi-bar-ukonga-1.jpg?width=650)
MAGUFULI AFUNIKA KISARAWE NA UKONGA, BAADAE KUENDELEZA KAMPENI ZAKE PEMBA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_f7JbyBbNOQ/VB6dDrhGFuI/AAAAAAAGk10/mi8DaAsbiBY/s72-c/New%2BPicture%2B(14).png)
VIONGOZI WA KIMASAI WAPATIWA ELIMU YA LISHE
![](http://2.bp.blogspot.com/-_f7JbyBbNOQ/VB6dDrhGFuI/AAAAAAAGk10/mi8DaAsbiBY/s1600/New%2BPicture%2B(14).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0v8tNnrtwh4/VB6dE_7MGvI/AAAAAAAGk18/J-9vJUdJ7B4/s1600/New%2BPicture%2B(9).png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t*ajD0I43hBC1V9c7KDPDAlS9sJfD0AcOjGcyuI2BZK9CiHFFeGWM4mZu5YAzYPIkbbYRnrgm5MzQbL-U92IiLL/chuchu.jpg?width=650)
CHUCHU AJIFUNZA MILA ZA KIMASAI, AAIBIKA!
10 years ago
Michuzi22 Jun
VIONGOZI WA KIMASAI WARIDHIA KUACHA UKEKETAJI
![Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0408.jpg)
![Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) kabla ya kutafsiri mada yake kwa wanasemina.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0446.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Ataka vazi la Kimasai Bunge la Katiba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ester Mirimba, ametaka vazi la Kimasai kuwa maalumu wakati wa vikao vya Bunge hilo. Ester ni mwakilishi wa kundi la wafugaji kutoka Chalinze, alisema...
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Koo za Kimasai Ngorongoro zina udugu na wanyama?