Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ELIMU YA MICHEZO: Makocha Tanzania mbumbumbu

>Elimu ndogo ya makocha wa Tanzania imetajwa kuwa sababu ya kufanya vibaya kwenye michezo ya kimataifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha waeleza kinachokwamisha maendeleo ya michezo nchini

Makocha wengi nchini wanataka Serikali iingilie kati kuinususuru sekta ya michezo ambayo hivi sasa haifanyi vizuri.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

11 years ago

Michuzi

Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow

Waogeleaji wa Tanzania Mariam Foum, Hilal Hemed na Ammaar Ghadiyali wakiwa tayari kwa michuano jijini Glasgow. Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo kayika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuongeza makocha timu ya ngumi

Shirikisho la ngumi nchini Tanzania lina mpango wa kuongeza makocha watatu katika kambi ya timu ya taifa kumsaidia kocha mkuu.

 

10 years ago

Michuzi

TCRA YATOA ELIMU KWA MENEJIMENTI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO

 Fundi Masafa kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw. Kenny Chitemo (aliyenyoosha mikono) akiwaonyesha Menejimenti ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo moja ya mtambo wa masafa uliwekwa katika gari la masafa wakati menejimenti hiyo ilipofanya ziara katika ofisi za TCRA Jijini Dar es Salaam. Katikati mwenye koti la blue ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bibi. Sihaba Nkinga, na Kulia ni Mkurugenzi Mkuu TCRA Dkt. Ally Yahaya Simba.Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana,...

 

11 years ago

Michuzi

Mawaziri wa Elimu Tanzania Bara na Zanzibar wakutana na waandishi wa habari kuelezea maendeleo ya Elimu

Waziri wa Elimu na Ufundi, Shukuru Kawambwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Ali Juma Shamuhuna kwa pamoja wamekutana kujadili mwenendo wa elimu Tanzania na kuchambua matokeo ya Kidato cha nne hususani viwango vya kufaulu na kufeli na hatimae kuwasilisha taarifa ya mkutano wao kwenye Baraza la Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Baraza la Mapinduzi Zanzibar.
Mawaziri hao walikutana jana mjini Zanzibar na kuongea na waandishi wa habari kuhusu maendeleo...

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic: Wachezaji ‘mbumbumbu’

>Kocha wa Simba, Zravok Logarusic amesema wachezaji wengi Tanzania, hawana elimu ya mpira, lakini ni wepesi wa kulewa sifa kwa kujiona ‘masupa staa’.

 

11 years ago

Mwananchi

Bungeni wasipelekwe mbumbumbu-Mjumbe

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Deogratias Ntukamazina amewataka wenzake kuunga mkono Rasimu ya Katiba inayotaka kiwango cha chini cha elimu kwa wagombea ubunge kuwa kidato cha nne ili kuepuka kuingiza mambumbumbu bungeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani