Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania kuongeza makocha timu ya ngumi

Shirikisho la ngumi nchini Tanzania lina mpango wa kuongeza makocha watatu katika kambi ya timu ya taifa kumsaidia kocha mkuu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu ya ngumi Tanzania 2015, yatajwa.

Shirikisho la Ngumi Tanzania (BFT) limechagua wachezaji wa timu ya Taifa ya Ngumi 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Makocha wa ngumi hawana vigezo madola

>Makocha wa timu ya taifa ya ngumi za ridhaa, Hassan Mzonge na Jonas Mwakipesile hawana sifa za kufundisha timu za taifa kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola.

 

11 years ago

GPL

HAFRA FUPI YA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA TANZANIA KWA AJILI YA KUHAMASISHA MCHEZO WA NGUMI KWA VIJANA TANZANIA

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa wa ngumi za Ridhaa pamoja na wadau wengine wa mchezo huo katika Picha ya pamoja, wakati wa hafra hiyo.

Aliyesimama kushoto ni mkurugenzi wa Afrika Mashariki kupitia kinywaji cha Battery Bwana Tony Misokia akiwa anaongea na wananchi walioshiriki katika Hafra hiyo.…

 

11 years ago

Mwananchi

TFF tunahitaji makocha wa timu za Taifa

Mwishoni mwa mwezi Februari, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilivunja mkataba na kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen na kukikabidhi kikosi cha Stars kwa muda chini ya mMkurugenzi wa uUfundi wa TFF, Salum Madadi akisaidiwa na kocha Hafidh Badru kutoka Zanzibar.

 

9 years ago

Habarileo

ZFA yazibana timu kuajiri makocha wa makipa

CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) Taifa kimezitaka timu kujipanga kuwa na makocha wa makipa ili kila timu iwe na mwalimu atakayeshughulikia makipa pekee.

 

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA USHIRIKIANO KATI YA BODI YA UTALII TANZANIA NA TIMU YA SUNDERLAND YA NCHINI UINGEREZA WAKATI WA MECHI YAO NA TIMU YA CHELSEA

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeshirikiana na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland ya Uingereza katika uzinduzi wa utangazaji utalii wa Tanzania pamoja na uhamasishaji wa uwekezaji na maendeleo ya michezo (Destination Partner in Tourism and Sports Development). Uzinduzi huo ulifanyika tarehe 29 Novemba, 2014 kwenye kiwanja cha “Stadium of Light”, kinachomilikiwa na Sunderland Association Football Club (SAFC).

Tukio hilo lilihudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Peter...

 

11 years ago

Mwananchi

ELIMU YA MICHEZO: Makocha Tanzania mbumbumbu

>Elimu ndogo ya makocha wa Tanzania imetajwa kuwa sababu ya kufanya vibaya kwenye michezo ya kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shirikisho la ngumi Tanzania lina ukata.

Licha ya kuchagua timu ya taifa , Shirikisho la Ngumi Tanzania halina fedha za kuigharamia timu kwenda nchini Congo Brazzaville.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani