ZFA yazibana timu kuajiri makocha wa makipa
CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) Taifa kimezitaka timu kujipanga kuwa na makocha wa makipa ili kila timu iwe na mwalimu atakayeshughulikia makipa pekee.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Sep
Makocha 20 wa makipa wananolewa
WALIMU 20 wa makipa wanatarajiwa kupatiwa mafunzo yaliyotarajiwa kuanza jana usiku visiwani Zanzibar, ambayo itachukua siku tano.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s72-c/unnamed+(24).jpg)
makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s1600/unnamed+(24).jpg)
10 years ago
CloudsFM17 Dec
Makipa wa timu ya Simba,Ivo Mapunda na Juma Kaseja watembelea Jahazini.
Kipa wa Klabu ya Simba Ivo Mapunda akizungumza kwenye kipindi cha Jahazi leo.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
TFF tunahitaji makocha wa timu za Taifa
10 years ago
BBCSwahili01 May
Tanzania kuongeza makocha timu ya ngumi
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Ratiba VPL yazibana Simba, Yanga
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
RATIBA ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu ujao, imeonekana kuzibana timu za Simba na Yanga ambazo zitacheza mechi nyingi ugenini kwenye mzunguko wa pili tofauti na mabingwa watetezi, Azam FC.
Kwa mujibu wa ratiba hiyo iliyotolewa juzi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inaonesha Simba na Yanga zitacheza mechi saba nyumbani kwenye mzunguko wa kwanza, huku zikicheza mechi saba ugenini mzunguko wa pili.
![Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Marcio-Maximo.jpg)
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es...
10 years ago
Habarileo20 Jan
Kamati ya Bunge yazibana wizara za Ardhi, Maliasili
KAMATI ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imezitaka Wizara za Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na ile ya Maliasili na Utalii, kuhakikisha zinamaliza mgogoro wa ardhi uliopo katika eneo la Hifadhi ya Saadani bila kulitumia Bunge kwa maslahi yao binafsi.
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Cecafa yaibana ZFA
11 years ago
Mwananchi05 Jan
ZFA waikomalia Yanga