Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cecafa yaibana ZFA

>Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limekishukia Chama cha Soka cha Zanzibar (ZFA) kwa kuandaa mashindano ya Kombe la Mapinduzi kinyume cha taratibu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

CECAFA: Azam FC eye Cecafa Cup semis

>Azam FC head coach Joseph Omog is earning fame as one of the best strategists and planners of the game.

 

9 years ago

Dewji Blog

Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!

cecafa__logo

Na Rabi Hume

Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.

Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.

Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;

 

11 years ago

Mwananchi

ZFA waikomalia Yanga

>Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd ameliagiza Baraza la Michezo visiwani hapa (BMZ), kukutana na lile la bara (BMT) ili kujadili kitendo cha Yanga kujiondoa kwenye michuano ya Mapinduzi dakika za mwisho.

 

9 years ago

Habarileo

ZFA yaunda Kamati tano

CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) Taifa kimeunda kamati tano zitakazosimamia masuala ya soka visiwani. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Ufundi wa chama hicho, Masoud Attai alipozungumza na gazeti hili ofisini kwake Amaan mjini Unguja.

 

9 years ago

TheCitizen

General meeting of ZFA set for Sunday

Zanzibar Football Association (ZFA) will hold its general meeting on Sunday, it has been revealed.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais ZFA apongeza mikakati ya Malinzi

RAIS wa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Ravia Idarus Faina, amepongeza mikakati ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi kuanzisha michuano maalumu ya mikoa 22 ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaibana Swansea 1-0

Licha ya kuilaza Swansea 0-1 Chelsea imesalia ya 2 katika ligi kuu ya Uingereza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil yaibana Croatia 3-1

Wenyeji wa kombe la dunia walifungua kampeini yao ya kuwania taji lao la sita la kombe la dunia kwa kuilaza croatia mabao 3-1

 

10 years ago

Habarileo

PAC yaibana BOT

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupeleka hatua zote za mkataba wa ubinafsishwaji wa benki ya NBC ili kufahamu ukweli wa mhusika aliyesababisha hasara kwa benki hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani