ZFA waikomalia Yanga
>Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd ameliagiza Baraza la Michezo visiwani hapa (BMZ), kukutana na lile la bara (BMT) ili kujadili kitendo cha Yanga kujiondoa kwenye michuano ya Mapinduzi dakika za mwisho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Cecafa yaibana ZFA
9 years ago
Habarileo28 Aug
ZFA yaunda Kamati tano
CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) Taifa kimeunda kamati tano zitakazosimamia masuala ya soka visiwani. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Ufundi wa chama hicho, Masoud Attai alipozungumza na gazeti hili ofisini kwake Amaan mjini Unguja.
9 years ago
TheCitizen22 Dec
General meeting of ZFA set for Sunday
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Rais ZFA apongeza mikakati ya Malinzi
RAIS wa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Ravia Idarus Faina, amepongeza mikakati ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi kuanzisha michuano maalumu ya mikoa 22 ya...
9 years ago
Habarileo12 Sep
ZFA yazibana timu kuajiri makocha wa makipa
CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) Taifa kimezitaka timu kujipanga kuwa na makocha wa makipa ili kila timu iwe na mwalimu atakayeshughulikia makipa pekee.
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Simba yaiomba ZFA isogeze mbele mechi dhidi ya Jamhuri
9 years ago
StarTV04 Nov
TFF/ZFA Wakutana kujadili kutatua mgogoro wa kufuta kesi mahakamani.
Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limekutana na Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) kujadili mgogoro wa chama hicho baada ya baadhi ya wanachama kuwashtaki viongozi wa ZFA Mahakamani kwa madai ya ukiukaji wa katiba.
Kikao hicho kimefanyika Jijini Dar Es Salaam ikiwa na jitihada za TFF kutaka kutatua mgogoro huo ambapo hadi mwisho wa kikao, pande hizo zimekubaliana kufuta kesi hiyo mahakamani.
Soka la Zanzibar kwa sasa ni pasua kichwa.
Pasua kichwa hiyo inatokana Wazanzibar kupeleka soka lao katika...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Video ya maamuzi waliofanya ZFA kuhusu muamuzi wa pembeni aliyekataa goli la Mtibwa dhidi ya Azam FC …
January 3 ndio siku ambayo Kombe la Mapinduzi lilianza visiwani Zanzibar kwa michezo miwili kupigwa kwa nyakati mbili tofauti katika uwanja Amaan, ila mchezo wa pili wa Kundi B uliozikutanisha timu za Azam FC dhidi ya Mtibwa Sugar na kumalizika kwa sare ya goli 1-1, uliingia kwenye headlines baada ya muamuzi wa pembeni Dalila Jaffar Mtwana kunyoosha […]
The post Video ya maamuzi waliofanya ZFA kuhusu muamuzi wa pembeni aliyekataa goli la Mtibwa dhidi ya Azam FC … appeared first on...