Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZFA waikomalia Yanga

>Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd ameliagiza Baraza la Michezo visiwani hapa (BMZ), kukutana na lile la bara (BMT) ili kujadili kitendo cha Yanga kujiondoa kwenye michuano ya Mapinduzi dakika za mwisho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Cecafa yaibana ZFA

>Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limekishukia Chama cha Soka cha Zanzibar (ZFA) kwa kuandaa mashindano ya Kombe la Mapinduzi kinyume cha taratibu.

 

9 years ago

Habarileo

ZFA yaunda Kamati tano

CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) Taifa kimeunda kamati tano zitakazosimamia masuala ya soka visiwani. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Ufundi wa chama hicho, Masoud Attai alipozungumza na gazeti hili ofisini kwake Amaan mjini Unguja.

 

9 years ago

TheCitizen

General meeting of ZFA set for Sunday

Zanzibar Football Association (ZFA) will hold its general meeting on Sunday, it has been revealed.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais ZFA apongeza mikakati ya Malinzi

RAIS wa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Ravia Idarus Faina, amepongeza mikakati ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi kuanzisha michuano maalumu ya mikoa 22 ya...

 

9 years ago

Habarileo

ZFA yazibana timu kuajiri makocha wa makipa

CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) Taifa kimezitaka timu kujipanga kuwa na makocha wa makipa ili kila timu iwe na mwalimu atakayeshughulikia makipa pekee.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yaiomba ZFA isogeze mbele mechi dhidi ya Jamhuri

Siku moja baada ya ratiba ya Kombe la Mapinduzi kutoka, uongozi wa Simba umewataka waandaaji wa mashindano hayo, Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) kusogeza mbele mchezo wao dhidi ya Jamhuri ya Pemba kutokana na kukabiliwa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Ndanda ya Mtwara.

 

9 years ago

StarTV

TFF/ZFA Wakutana kujadili kutatua mgogoro wa kufuta kesi mahakamani.

Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limekutana na Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) kujadili mgogoro wa chama hicho baada ya baadhi ya wanachama kuwashtaki viongozi wa ZFA Mahakamani kwa madai ya ukiukaji wa katiba.

Kikao hicho kimefanyika Jijini Dar Es Salaam ikiwa na jitihada za TFF kutaka kutatua mgogoro huo ambapo hadi mwisho wa kikao, pande hizo zimekubaliana kufuta kesi hiyo mahakamani.

Soka la Zanzibar kwa sasa ni pasua kichwa.

Pasua kichwa hiyo inatokana Wazanzibar kupeleka soka lao katika...

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya maamuzi waliofanya ZFA kuhusu muamuzi wa pembeni aliyekataa goli la Mtibwa dhidi ya Azam FC …

January 3 ndio siku ambayo Kombe la Mapinduzi lilianza visiwani Zanzibar kwa michezo miwili kupigwa kwa nyakati mbili tofauti katika uwanja Amaan, ila mchezo wa pili wa Kundi B uliozikutanisha timu za Azam FC dhidi ya Mtibwa Sugar na kumalizika kwa sare ya goli 1-1, uliingia kwenye headlines baada ya muamuzi wa pembeni Dalila Jaffar Mtwana kunyoosha […]

The post Video ya maamuzi waliofanya ZFA kuhusu muamuzi wa pembeni aliyekataa goli la Mtibwa dhidi ya Azam FC … appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani