Simba yaiomba ZFA isogeze mbele mechi dhidi ya Jamhuri
Siku moja baada ya ratiba ya Kombe la Mapinduzi kutoka, uongozi wa Simba umewataka waandaaji wa mashindano hayo, Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) kusogeza mbele mchezo wao dhidi ya Jamhuri ya Pemba kutokana na kukabiliwa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Ndanda ya Mtwara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Dec
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Video ya maamuzi waliofanya ZFA kuhusu muamuzi wa pembeni aliyekataa goli la Mtibwa dhidi ya Azam FC …
January 3 ndio siku ambayo Kombe la Mapinduzi lilianza visiwani Zanzibar kwa michezo miwili kupigwa kwa nyakati mbili tofauti katika uwanja Amaan, ila mchezo wa pili wa Kundi B uliozikutanisha timu za Azam FC dhidi ya Mtibwa Sugar na kumalizika kwa sare ya goli 1-1, uliingia kwenye headlines baada ya muamuzi wa pembeni Dalila Jaffar Mtwana kunyoosha […]
The post Video ya maamuzi waliofanya ZFA kuhusu muamuzi wa pembeni aliyekataa goli la Mtibwa dhidi ya Azam FC … appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
10 years ago
MichuziMchezo wa Kirafiki Kati ya Simba na Polisi Usiku Huu Uwanja wa Amaan Simba Ikiwa mbele kwa bao 2--0
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Camara:mechi dhidi ya Uganda ni muhimu
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Podolski nje ya mechi dhidi ya Algeria
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Simba kibaruani kuivaa Jamhuri
NA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi, Simba leo wanatarajia kushuka dimbani kutupa karata yao ya kwanza kwa kuvaana na timu ya Jamhuri ya Pemba katika mchezo utakaopigwa Uwanja wa Amaan.
Simba ambao wamepangwa Kundi A la michuano hiyo wataingia uwanjani saa 2:15 usiku kuwakabili wapinzani wao ikiwa ni baada ya mchezo wa awali wa JKU dhidi ya URA ya Uganda kupigwa kwenye uwanja huo jioni.
Kocha Mkuu wa Simba Mwingereza, Dylan Kerr ambaye...
9 years ago
TheCitizen29 Dec
Simba SC, Jamhuri in Mapinduzi opener
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10