Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais ZFA apongeza mikakati ya Malinzi

RAIS wa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Ravia Idarus Faina, amepongeza mikakati ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi kuanzisha michuano maalumu ya mikoa 22 ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rais Kikwete apongeza timu ya watoto

Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza Timu ya Watoto wa Mitaani ya nchi hiyo kwa kutwaa Kombe la Dunia.

 

9 years ago

Mwananchi

Rais wa Chad apongeza utendaji Mahakama ya Afrika

Rais wa Chad, Idriss Deby amepongeza utendaji kazi wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu (AfCHPR) na kuahidi kuridhia itifaki ya kuanzishwa mahakama hiyo nchini humo.

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Mwakyembe Apongeza Wazalendo Wanaounga Mkono Juhudi za Rais Magufuli


Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na Bw. Mussa Issa (kushoto) meneja wa Mtoto Romeo Asubisye (mwenye suti ya kijani) aliyekuja kumtambulisha mtoto huyo baada ya kutwaa medali takriban 09,katika mashindano mbalimbali ya kuogelea ikwemo Cana Zone Three Africa yaliyofanyika mwaka 2019 nchini KenyaWaziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa katika picha ya pamoja  na Bw. Mussa Issa...

 

10 years ago

Michuzi

MALINZI AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA FIFA

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF jana ijumaa alipokea ugeni wa makamu wa Rais wa FIFA ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu nchini Jordan, HRH Prince Ali Bin Al Hussein. (picha ya Rais Jamal Malinzi na HRH Ali imeambatanishwa)
Jioni Prince Ali Bin AliHussein na ujumbe wake walifanya mazungumzo na Rais wa Shrikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Jamal Malinzi  katika hoteli ya Hyatt Regency (zamani Kilimanjaro Kempsinki) iliyopo jijini Dar es salaam.
Katika mazungumzo hayo,...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AMSHUKURU LEODGER TENGA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi amemshukuru Rais wa CECAFA, Leodgar Tenga kwa kuipa Tanzania uenyeji wa mashindano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup) iliyomalizika jana kwa klabu ya Azam FC kutawazwa Mabingwa wapya wa michuano hiyo.
Aidha Malinzi ameishukuru Kamati ya Ndani ya Uendeshaji ya Michuano hiyo (LOC) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa na kuhakikisha michuano hiyo inafanyika na kumalizika katika hali ya usalama na amani. ...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS MALINZI AWATAKA MAKOCHA WATUMIE UJUZI WAO

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewataka makocha wa mpira wa miguu wafanyie kazi kwa vitendo mafunzo wanayopata badala ya kuweka makabatini maarifa waliyopata.
Akifunga rasmi mafunzo ya wiki mbili ya makocha wa mpira wa miguu ya Leseni B inayotambuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) jijini Dar es Salaam leo (Juni 20 mwaka huu), Rais Malinzi amewataka makocha hao kuwapa mafunzo ya awali (basic) walimu wa shule za msingi kwa vile TFF ina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani