Rais Kikwete apongeza timu ya watoto
Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza Timu ya Watoto wa Mitaani ya nchi hiyo kwa kutwaa Kombe la Dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi29 Sep
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA
10 years ago
VijimamboRais Kikwete atoa Msaada kwa Timu ya Kilimani Sports Club mjini Dodoma
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi timu ya soka ya Kilimani Sports Club jezi na mipira katika ikulu ndogo ya mjini Dodoma leo asubuhi.Rais Kikwete alitoa msaada kwa timu hiyo baada ya kuwakuta vijana hao wakifanya mazoezi bila zana bora katika uwanja wa mpira ulioko eneo la Kilimani karibu na ikulu wakati Rais alipokuwa akifanya mazoezi ya kutembea katika eneo hilo.Wakiongea mara baada ya kupokea msaada huo vijana hao walimshukuru Rais Kwa moyo wake wa upendo na nia yake ya kukuza...
9 years ago
Habarileo21 Oct
Kikwete apongeza Polisi
RAIS Jakaya Kikwete amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia vizuri kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazofikia ukingoni, lakini akalitaka kuwadhibiti watu wote watakaoonesha viashiria vya uvunjifu wa amani kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu unaofanyika Jumapili wiki hii.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mppV2Wxghu4/U29xgY6mszI/AAAAAAAFg9s/6SUYUCXyFHE/s72-c/D92A0362.jpg)
Rais Kikwete awasalimu watoto mapacha DRC
![](http://4.bp.blogspot.com/-mppV2Wxghu4/U29xgY6mszI/AAAAAAAFg9s/6SUYUCXyFHE/s1600/D92A0362.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete awapa Futari Watoto Yatima
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Go-EhjJtIDo/VSQeES9FdfI/AAAAAAADhOE/8eH54CeQp_k/s72-c/kids_jail.jpg)
Rais Kikwete awakumbuka watoto mahabusu Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-Go-EhjJtIDo/VSQeES9FdfI/AAAAAAADhOE/8eH54CeQp_k/s1600/kids_jail.jpg)
Na Mussa Juma, Mwananchi
Atoa mbuzi wawili kwa ajili ya kushereheka Pasaka
Arusha. Rais Jakaya Kikwete ametoa msaada wa mbuzi wawili, chakula na mafuta kwa watoto waliopo mahabusu mkoani hapa ili kusheherehea Sikukuu ya Pasaka.Akikabidhi msaada huo, Ofisa Maendeleo ya Jamii Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha, Thabita Matiko alisema juzi kuwa vitu vyote hivyo vina thamani ya Sh400,000.
Alisema watoto hao wanapaswa kusherehekea Pasaka kama wengine wanaoishi na wazazi wao.
Wakati huohuo, Ofisa Ustawi...
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Rais Kikwete akabidhi bendera timu ya taifa ya riadha itayoshiriki michuano ya jumuiya ya madola huko Glasgow, Scotland
Rais Jakaya Mrisho Kikwete...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania