Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil yaibana Croatia 3-1

Wenyeji wa kombe la dunia walifungua kampeini yao ya kuwania taji lao la sita la kombe la dunia kwa kuilaza croatia mabao 3-1

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BRAZIL VS CROATIA: HAKUNA KULALA LEO

Rio de Janeiro, Brazil
WENYEJI Brazil leo Alhamisi watakuwa na kibarua pevu cha kuhakikisha wanaanza vyema michuano ya Kombe la Dunia ambapo wanatarajiwa kufungua pazia kwa kumenyana na timu ya taifa ya Croatia kwenye  Uwanja wa Rio de Janeiro mjini hapa. Ikumbukwe kuwa Croatia inayonolewa na Niko Kovač, haijawahi kuifunga Brazil zaidi ya kuambulia sare na vipigo hivyo leo inatarajiwa kuwa mechi ya kukata na shoka...

 

11 years ago

GPL

KUTANA NA KASA ALIYEITABIRIA BRAZIL KUIFUNGA CROATIA KESHO

Kasa aitwaye Big Head akitabiri mechi ya kesho ya ufunguzi kati ya Brazil na Croatia. BAADA ya pweza Paul aliyekuwa akiishi Ujerumani kujizolea umaarufu wakati wa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010 nchini Afrika Kusini, fainali za mwaka huu nchini Brazil ameibuka mtabiri mwingine aitwaye Cabeção au Big Head. Big Head ambaye ni kasa mwenye umri wa miaka 25, anayeishi katika kijiji cha Praia Do Forte nchini Brazil...

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Croatia defender rails against penalty, says ref shouldn't be at #WorldCup

Unfancied Croatia took a shock lead when Marcelo put the ball into his own net early in the Group A match before Neymar levelled in front of a jubilant crowd in the Corinthians Arena.

 

11 years ago

Michuzi

kombe la dunia laanza kwa brazil kuichapa croatia 3-1 katika mchezo unaolalamikiwa kuwa wenyeji wamebebwa na refa

Wenyeji Brazil  wameanza michuano ya Kombe la Dunia kwa ushindi finyu wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia usiku wa kuamkia leo  wa jijini Sao Paulo, na kuponea chupuchupu kutoka sare katoka mchezo ulioanza kwa mabingwa hao mara tano kujikuta nyuma kwa goli moja la kujifunga wenyewe mwanzoni mwa kipindi cha kwanza.  Nyota wa Brazil Neymar analalamikiwa kubebwa na refa Yuichi Nishimura kutoka Japana baada ya kuambulia kadi ya njano (badala ya nyekundu)  kwa kumpiga kwa makusudi kipepsi mlinzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Cecafa yaibana ZFA

>Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limekishukia Chama cha Soka cha Zanzibar (ZFA) kwa kuandaa mashindano ya Kombe la Mapinduzi kinyume cha taratibu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaibana Swansea 1-0

Licha ya kuilaza Swansea 0-1 Chelsea imesalia ya 2 katika ligi kuu ya Uingereza.

 

10 years ago

Habarileo

PAC yaibana BOT

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupeleka hatua zote za mkataba wa ubinafsishwaji wa benki ya NBC ili kufahamu ukweli wa mhusika aliyesababisha hasara kwa benki hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Manchester City yaibana Liverpool 3-1

Manchester City iliibana Liverpool mabao 3-1 katika uwanja wa Etihad katika mechi yao ya pili.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaibana Bodi ya Chai

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey ZambiSERIKALI imeiagiza Bodi ya Chai kuhakikisha inafuatilia malalamiko ya wakulima wa zao hilo wilayani Korogwe haraka iwezekanavyo na kuyatafutia ufumbuzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani