Serikali yaibana Bodi ya Chai
SERIKALI imeiagiza Bodi ya Chai kuhakikisha inafuatilia malalamiko ya wakulima wa zao hilo wilayani Korogwe haraka iwezekanavyo na kuyatafutia ufumbuzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogMBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
5 years ago
MichuziMBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRm98t7cro1-GRjELe*QDGNMdcVkxByUKapJQXlci2EE1fjIytwu94mHtMPEqv5Nt7zHPK4pSNmM8Za9Cs0-oTFp/02.jpg?width=650)
BAJETI 2014/15 CHAI MAOFISI YA SERIKALI NO
10 years ago
Michuzi05 Jan
SERIKALI YAREJESHA KIWANDA CHA CHAI CHA MPONDE MIKONONI MWA WANANCHI.
10 years ago
Vijimambo05 Jan
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Bodi Serikali za Mitaa kuanzisha benki
BODI ya Mikopo ya Serikali za Mitaa nchini inatarajia kuanzisha Benki ya Maendeleo, ili kuweza kukopesha halmashauri mbalimbali nchini kwa ajili ya utekelezaji wa miradi inayolenga kuchochea shughuli za maendeleo....
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Serikali yabeba deni la Bodi ya Utalii
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
SERIKALI kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, imejitwisha mzigo wa deni la Sh bilioni 4 ambalo Bodi ya Utalii inadaiwa.
Deni hilo ni ambalo linahusu matangazo yanayoanzia mwaka 2013/ 2014 ambalo lilikuwa likihusu matangazo yote ya utalii yaliyokuwa yakifanyika ndani na nje ya nchi katika viwanja mbalimbali vya soka vya Ulaya.
Akizungumza na viongozi wa bodi hiyo, jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghebe alisema wizara...
11 years ago
Habarileo20 May
Serikali kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu
SERIKALI imeamua kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu Tanzania katika mwaka ujao wa fedha, itakayosimamia masuala ya walimu, ikiwemo usajili, uendelezaji wa walimu na maadili ya kazi ya ualimu.
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Serikali yaiongeza Bodi ya Mikopo Sh132 bilioni