Ratiba VPL yazibana Simba, Yanga
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
RATIBA ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu ujao, imeonekana kuzibana timu za Simba na Yanga ambazo zitacheza mechi nyingi ugenini kwenye mzunguko wa pili tofauti na mabingwa watetezi, Azam FC.
Kwa mujibu wa ratiba hiyo iliyotolewa juzi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inaonesha Simba na Yanga zitacheza mechi saba nyumbani kwenye mzunguko wa kwanza, huku zikicheza mechi saba ugenini mzunguko wa pili.
![Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Marcio-Maximo.jpg)
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili17 Sep
Vpl:Yanga, Simba,Azam zashinda
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/SIMBA-YANGA-3.jpg)
VPL: YANGA 2-0 SIMBA, DAKIKA 90 ZIMEKWISHA
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Yanga, Simba, Azam zatoa dozi VPL
*Kagera, Prisons, Majimaji zabanwa mbavu, African Sports hoi Ligi kuu
NA WAANDISHI WETU
TIMU za soka za Yanga, Simba na Azam jana zilitoa dozi ya vipigo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizochezwa kwenye viwanja tofauti, huku mabingwa hao watetezi wakiendelea kutamba kileleni mwa ligi hiyo.
Vinara Yanga walijiongezea kasi na kuzidi kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kuwazamisha wenyeji wao Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri,...
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Simba, Azam zatofautiana na Yanga ratiba ligi Kuu
SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutangaza ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Uongozi wa Mabingwa wa ligi hiyo, Yanga umeibuka na kuipinga kwa madai kuwa haikuwatendea haki.
Ligi hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 12 kwa michezo saba ya ufunguzi kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tibohora, alisema kuwa wao hawajaridhika na upangaji wa ratiba hiyo, na inaonyesha wazi nia yao ni kutaka wafanye vibaya msimu...
11 years ago
GPLRATIBA VPL YAREKEBISHWA, LIGI KUMALIZIKA APRILI 19
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …
Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]
The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo07 Apr
Simba wanakuja mdogomdogo VPL.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Simba-7April2015.jpg)
Simba imezidi kuongeza kasi katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Kagera Sugar.
Kwa ushindi wa mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kambarage mjini hapa baada ya kushindikana kuchezwa Jumamosi kutokana na mvua kubwa iliyonyesha, umeifanya Simba kufikisha pointi 35 moja nyuma ya Azam FC iliyopo nafasi ya pili na tano nyuma ya vinara Yanga.
Hata hivyo, Simba imecheza mechi tatu...