RATIBA VPL YAREKEBISHWA, LIGI KUMALIZIKA APRILI 19
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeifanyia marekebisho ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) ambapo sasa itamalizika Aprili 19 mwaka huu badala ya Aprili 27 mwaka huu. Marekebisho hayo yamefanyika ili kutoa fursa kwa timu ya Taifa 9Taifa Stars) kujiandaa kwa mechi za mchujo la Kombe la Afrika 2015 ambapo itacheza raundi ya awali Mei mwaka huu. Kutokana na marekebisho hayo, Yanga itacheza na Prisons (Uwanja wa Taifa) Machi 26 mwaka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Mar
Uandikishaji wa BVR Njombe kumalizika Aprili
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Ratiba VPL yazibana Simba, Yanga
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
RATIBA ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu ujao, imeonekana kuzibana timu za Simba na Yanga ambazo zitacheza mechi nyingi ugenini kwenye mzunguko wa pili tofauti na mabingwa watetezi, Azam FC.
Kwa mujibu wa ratiba hiyo iliyotolewa juzi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inaonesha Simba na Yanga zitacheza mechi saba nyumbani kwenye mzunguko wa kwanza, huku zikicheza mechi saba ugenini mzunguko wa pili.
![Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Marcio-Maximo.jpg)
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
10 years ago
Vijimambo23 Apr
RATIBA YA TAMASHA LA CHAUKIDU TAREHE 23 APRILI 2015 WASHINGTON DC
HOLLYWOOD BALLROOM – SILVER SPRING, MARYLAND (MUDA/SAA)12:00 - 1:00 Kuwasili kwa Wanachama na Wageni Waalikwa Washiriki Wote Hollywood Ballroom 1:15-1:25 Ukaribisho Rasmi na maelezo kuhusu CHAUKIDU Mkurugenzi wa CHAUKIDU-Dr. L. Muaka Hollywood Ballroom 1:30-2:30 CHAKULA CHA JIONI - Shairi (Anna Mwalagho)- Wimbo - Kizazi Kipya (AJ Ubao)- Kanga Fashion Show (Ma Winny) MC / Mhudumu wa Chakula / Wasanii Hollywood Ballroom 2:30-2:45 ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ivE_fQyXAaw/U71Ae5nbW1I/AAAAAAAF0Cc/LwzIcSzhPD8/s72-c/images.jpg)
Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuanza septemba 20, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-ivE_fQyXAaw/U71Ae5nbW1I/AAAAAAAF0Cc/LwzIcSzhPD8/s1600/images.jpg)
Awali michuano hiyo ilikuwa ianze Agosti 24 mwaka huu, lakini Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limelazimika kuisogeza mbele kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupitisha michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).
Michuano ya Kombe la Kagame inayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cFHxPJ4HxwA/VDGVtBOJREI/AAAAAAAAq4o/EATkXz6zhl8/s72-c/10433895_804475506261651_4017831221493516899_n.png)
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Mechi za Ligi ya soka ya England kuahirishwa hadi tarehe 3 Aprili