Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba wanakuja mdogomdogo VPL.

Kikosi cha Simba.
Simba imezidi kuongeza kasi katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Kagera Sugar.

Kwa ushindi wa mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kambarage mjini hapa baada ya kushindikana kuchezwa Jumamosi kutokana na mvua kubwa iliyonyesha, umeifanya Simba kufikisha pointi 35 moja nyuma ya Azam FC iliyopo nafasi ya pili na tano nyuma ya vinara Yanga.

Hata hivyo, Simba imecheza mechi tatu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Vpl:Yanga, Simba,Azam zashinda

Vigogo vya ligi kuu ya Tanzania bara Simba,Yanga na Azam vimeibuka na ushindi katika michezo yao ya mzunguko wa pili

 

9 years ago

Mtanzania

Simba ikileta mzaha imekwisha VPL

KIKOSI-1NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

WEKUNDU wa Msimbazi Simba kama wataamua kuleta mzaha katika usajili wa dirisha dogo, basi isahau suala la kufanya vizuri katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

Simba ambayo inashika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi hiyo, bado haijawa kwenye fomu yake kama ilivyokua misimu mitatu iliyopita, licha ya kujitutumua kutaka kurudi kwenye nafasi mbili za juu ambazo ilikua ikipishana na mahasimu wao Yanga.

Timu hiyo ina nafasi mbili pekee za kuweza kuongeza...

 

10 years ago

Mtanzania

Ratiba VPL yazibana Simba, Yanga

Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam

RATIBA ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu ujao, imeonekana kuzibana timu za Simba na Yanga ambazo zitacheza mechi nyingi ugenini kwenye mzunguko wa pili tofauti na mabingwa watetezi, Azam FC.

Kwa mujibu wa ratiba hiyo iliyotolewa juzi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inaonesha Simba na Yanga zitacheza mechi saba nyumbani kwenye mzunguko wa kwanza, huku zikicheza mechi saba ugenini mzunguko wa pili.

Maximo

Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es...

 

9 years ago

GPL

VPL: YANGA 2-0 SIMBA, DAKIKA 90 ZIMEKWISHA

Kikosi cha timu ya Yanga Kikosi cha timu ya Simba Mashabiki wa Yanga. Mashabiki wa Simba.…

 

11 years ago

TheCitizen

Classy Simba target Mtibwa scalp in VPL

>Simba head coach Zdravko Logarusic has warned his players not to rest on their laurels as the Vodacom Premier League title challengers look to maintain their winning run against Mtibwa Sugar today.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga, Simba, Azam zatoa dozi VPL

Pg 32*Kagera, Prisons, Majimaji zabanwa mbavu, African Sports hoi Ligi kuu

NA WAANDISHI WETU

TIMU za soka za Yanga, Simba na Azam jana zilitoa dozi ya vipigo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizochezwa kwenye viwanja tofauti, huku mabingwa hao watetezi wakiendelea kutamba kileleni mwa ligi hiyo.

Vinara Yanga walijiongezea kasi na kuzidi kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kuwazamisha wenyeji wao Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri,...

 

11 years ago

CloudsFM

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani