Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha 20 wa makipa wananolewa

WALIMU 20 wa makipa wanatarajiwa kupatiwa mafunzo yaliyotarajiwa kuanza jana usiku visiwani Zanzibar, ambayo itachukua siku tano.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

ZFA yazibana timu kuajiri makocha wa makipa

CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) Taifa kimezitaka timu kujipanga kuwa na makocha wa makipa ili kila timu iwe na mwalimu atakayeshughulikia makipa pekee.

 

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

10 years ago

Mwananchi

Makipa wazikoroga Simba, Yanga

Siku mbili kabla ya mechi baina ya watani wa jadi, Simba, Yanga, ubora wa makipa ni suala linalozikoroga timu hizo mbili.

 

9 years ago

Habarileo

Viwango makipa Yanga vyamkuna Pondamali

KOCHA wa makipa wa Yanga Juma Pondamali amesema kwamba kipa Deogratius Munishi ’Dida’ yuko kwenye kiwango sawa na kipa Ally Mustapha ’Barthez’ na yeyote anaweza kuanza kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Makipa wanaolipwa zaidi: Casillas afunika ulaya

Soka ni mchezo unaopendwa sana ulimwenguni na wachezaji wengi wa mchezo huo kwenye ligi mbalimbali za Ulaya wamekuwa wakivuna fedha nyingi kutoka na mchezo huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Makipa wazindua umoja wao kwa kuiua Taswa

Ivo Mapunda wa Simba, Shaaban Kado wa Coastal Union na Saleh Malande wa Ndanda juzi waliiongoza timu yao ya Chama cha Makipa Tanzania (Taga FC) kuiadhibu timu ya Waandishi wa Habari za Michezo (Taswa FC), kwa mabao 3-0, kwenye mchezo maalumu wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Bora, Kijitonyama jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Makipa wapewa heshima kubwa Rio

Mashujaa halisi wa fainali za Kombe la Dunia wamekuwa ni makipa kama Tim Howard, Guillermo Ochoa na Julio Cesar, ambao wamejitoa kikamilifu.

 

11 years ago

GPL

IVO, CANNAVARO WATEMWA STARS, MAKIPA WOTE WA AZAM WACHUKULIWA

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda. KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga amewaacha kipa Ivo Mapunda wa Simba SC na beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wa Yanga SC katika kikosi chake cha wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini kesho (Aprili 20 mwaka huu) kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu. Beki wa kati wa Yanga, Nadir Haroub...

 

10 years ago

CloudsFM

Makipa wa timu ya Simba,Ivo Mapunda na Juma Kaseja watembelea Jahazini.

Kipa wa Klabu ya Simba Ivo Mapunda akizungumza kwenye kipindi cha Jahazi leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani