Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha wa ngumi hawana vigezo madola

>Makocha wa timu ya taifa ya ngumi za ridhaa, Hassan Mzonge na Jonas Mwakipesile hawana sifa za kufundisha timu za taifa kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuongeza makocha timu ya ngumi

Shirikisho la ngumi nchini Tanzania lina mpango wa kuongeza makocha watatu katika kambi ya timu ya taifa kumsaidia kocha mkuu.

 

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

11 years ago

GPL

HAFRA FUPI YA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA TANZANIA KWA AJILI YA KUHAMASISHA MCHEZO WA NGUMI KWA VIJANA TANZANIA

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa wa ngumi za Ridhaa pamoja na wadau wengine wa mchezo huo katika Picha ya pamoja, wakati wa hafra hiyo.

Aliyesimama kushoto ni mkurugenzi wa Afrika Mashariki kupitia kinywaji cha Battery Bwana Tony Misokia akiwa anaongea na wananchi walioshiriki katika Hafra hiyo.…

 

9 years ago

Mwananchi

Vigezo ubora wa mazao vyagharimu wakulima

Wakulima mkoani Rukwa wanalazimika kuuza mazao yao kwa walanguzi kwa bei ya chini kwa sababu baadhi hayakidhi vigezo kwenye masoko ya ndani na nje ya nchi.

 

10 years ago

Mtanzania

Zanzibar mbioni kufikia vigezo vya WHO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema, katika miaka michache ijayo, Zanzibar itakuwa na madaktari wa kutosha kufikia uwiano uliopendekezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) wa angalau daktari mmoja kuhudumia wagonjwa 10,000 kwa nchi zinazoendelea.

Dk. Shein ametoa kauli hiyo jana wakati alipokuwa akizungumza katika mahafali...

 

9 years ago

Mwananchi

Vigezo vitano vitaamua baraza la mawaziri

Kazi za kwanza alizofanya Rais John Magufuli tayari zimeshamtambulisha kama rais asiyetaka mzaha na asiyevumilia uvivu, uzembe na kutowajibika kwa watumishi wa umma. Magufuli pia amejipambanua kama rais asiyependa ufujaji wa mali za umma na pia anayetaka kuona matokeo katika kazi na siyo blabla.

 

10 years ago

Mwananchi

Kawambwa aeleza vigezo uongozi elimu

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ametoa agizo kuwa kuanzia sasa vigezo vya uteuzi wa viongozi katika sekta ya elimu, vitazingatia sifa ya kuwa na mafunzo ya uongozi na utawala katika elimu.

 

10 years ago

Habarileo

Mangula ataja vigezo 13 vya urais

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip MangulaMAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula amesema vigezo 13, vitatumika kuwachuja wanachama wa chama hicho ambao wameomba kugombea urais CCM.

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE MZURI ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?

Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa, ni Jumatatu nyingine ninapokukaribisha kwa moyo mkunjufu kwenye busati letu la mahaba, tukijuzana na kuelimishana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Leo nataka tujadiliane kuhusu mada ambayo siyo ngeni lakini imekuwa ikisababisha mivutano na migongano mingi ya kimawazo mara kwa mara kila inapojadiliwa, hasa na wanaume au wanawake wenyewe. Hivi umeshawahi kujiuliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani