Vigezo vitano vitaamua baraza la mawaziri
Kazi za kwanza alizofanya Rais John Magufuli tayari zimeshamtambulisha kama rais asiyetaka mzaha na asiyevumilia uvivu, uzembe na kutowajibika kwa watumishi wa umma. Magufuli pia amejipambanua kama rais asiyependa ufujaji wa mali za umma na pia anayetaka kuona matokeo katika kazi na siyo blabla.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HRTez0bJclA/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TNv7dtVtpYpddUHzT520rw12Z2cfYn6gy*aOzzrEdcuTToxtzaQZ14*1ZliuWXchYgwc1PJB1AxNN*sfdmPaxTQ/mawaziri.jpg?width=650)
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Baraza la mawaziri labadilishwa Tanzania
9 years ago
TZToday10 Dec
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LATANGAZWA
Jumla ya wizara ni 18 , Mawaziri ni 19.
Wizara ya Mambo ya Nje na EAC/ Kimataifa
- Augustino Mahiga, Naibu Waziri - Dk. Suzan Kolimba
Wazara wa Utamaduni, Sanaa na michezo
Waziri-Nape Nnauye
Wizara ya Nishati na Madini
Waziri -Sospeter Muhongo na Naibu Waziri-Medard Kalemani
Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu
Waziri -Jenista Mhagama
Wizara ya ofisi ya Rais, Utumishi na utawala
mawaziri wawili - Simbachawene na Kairuki
Ofisi ya Makamu wa...
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Magufuli atangaza baraza la mawaziri
5 years ago
Habarileo16 Feb
Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri
Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri.
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Sura mpya Baraza la Mawaziri
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Kagame avunja Baraza la Mawaziri
![Paul Kagame](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Paul-Kagame.jpg)
Rais wa Rwanda, Paul Kagame
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amevunja baraza lake la mawaziri kwa kumuondoa aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Dk. Pierre Damien Habumuremyi na kumteua aliyekuwa Waziri wa Utumishi wa Umma wa nchi hiyo, Anastase Murekezi, kuchukua wadhifa huo.
Dk. Habumuremyi alikuwa Waziri Mkuu wa Ruwanda tangu Oktoba 7, mwaka 2011.
Murekezi amekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo tangu kumalizika vita vya mauaji ya kimbari mwaka 1994.
Waziri Mkuu wa kwanza alikuwa Faustin...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jR7nYvTvTS0/VGXJt1MzZTI/AAAAAAADM_o/79eHfU4RR4Y/s72-c/Kikwete_mbowe.jpg)
MBOWE BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-jR7nYvTvTS0/VGXJt1MzZTI/AAAAAAADM_o/79eHfU4RR4Y/s1600/Kikwete_mbowe.jpg)