Kagame avunja Baraza la Mawaziri
Rais wa Rwanda, Paul Kagame
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amevunja baraza lake la mawaziri kwa kumuondoa aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Dk. Pierre Damien Habumuremyi na kumteua aliyekuwa Waziri wa Utumishi wa Umma wa nchi hiyo, Anastase Murekezi, kuchukua wadhifa huo.
Dk. Habumuremyi alikuwa Waziri Mkuu wa Ruwanda tangu Oktoba 7, mwaka 2011.
Murekezi amekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo tangu kumalizika vita vya mauaji ya kimbari mwaka 1994.
Waziri Mkuu wa kwanza alikuwa Faustin...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Baraza la mawaziri lajiuzulu Misri
10 years ago
Vijimambo
MBOWE BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE

9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Baraza la Mawaziri Kenya, labadilishwa
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Uwiano ni muhimu Baraza la Mawaziri
SIKU chache zilizopita, nilikuwa na mjadala mrefu na mmoja wa mawaziri wa serikali ya Rais John M
Ezekiel Kamwaga
5 years ago
Habarileo16 Feb
Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri
Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri.
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Baraza jipya la mawaziri laiva
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Dk. John Magufuli, wakati wowote anatarajiwa kutangaza Baraza la Mawaziri baada ya kukamilisha wiki kadhaa za kuchuja majina ya wanaofaa kuwa mawaziri.
Hatua hiyo inakuja baada ya jana kukutana faragha kwa saa moja na Waziri Mkuu wake Kassim Majaliwa katika kikao kilichofanyika ofisini kwa waziri huyo.
Katika kile kinachoonekana ni tofauti na marais waliopita, ambao wengi wao walikuwa wakifuatwa ofisini, hali imekuwa tofauti kwa Dk. Magufuli ambaye...
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Sura mpya Baraza la Mawaziri
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Magufuli atangaza baraza la mawaziri