Baraza la Mawaziri Kenya, labadilishwa
Rais wa Kenya amefanya mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri, na kuwaacha wote wizara zao zilizotajwa katika ufisadi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Baraza la mawaziri labadilishwa Tanzania
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QHlyn-Y16x0/U65jYl2795I/AAAAAAAFtR0/-WC_Iq0UMM4/s72-c/No.1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt.Kigoda aongoza mkutanno wa 99 wa baraza la mawaziri nchini kenya.
![](http://4.bp.blogspot.com/-QHlyn-Y16x0/U65jYl2795I/AAAAAAAFtR0/-WC_Iq0UMM4/s1600/No.1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TNv7dtVtpYpddUHzT520rw12Z2cfYn6gy*aOzzrEdcuTToxtzaQZ14*1ZliuWXchYgwc1PJB1AxNN*sfdmPaxTQ/mawaziri.jpg?width=650)
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Baraza jipya la mawaziri laiva
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Dk. John Magufuli, wakati wowote anatarajiwa kutangaza Baraza la Mawaziri baada ya kukamilisha wiki kadhaa za kuchuja majina ya wanaofaa kuwa mawaziri.
Hatua hiyo inakuja baada ya jana kukutana faragha kwa saa moja na Waziri Mkuu wake Kassim Majaliwa katika kikao kilichofanyika ofisini kwa waziri huyo.
Katika kile kinachoonekana ni tofauti na marais waliopita, ambao wengi wao walikuwa wakifuatwa ofisini, hali imekuwa tofauti kwa Dk. Magufuli ambaye...
11 years ago
Habarileo06 Jun
‘Acheni kudhalilisha Baraza la Mawaziri’
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk, Richard Sezibera ameasa wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuacha tabia ya kudhalilisha Baraza la Mawaziri.
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Sura mpya Baraza la Mawaziri
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Msigwa: Baraza la Mawaziri limedumaaÂ
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amesema asilimia 40 ya Baraza la Mawaziri limedumaa kwa sababu limeshindwa kutekeleza majukumu yake. Msigwa pia alikilaumu Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Uwiano ni muhimu Baraza la Mawaziri
SIKU chache zilizopita, nilikuwa na mjadala mrefu na mmoja wa mawaziri wa serikali ya Rais John M
Ezekiel Kamwaga
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Baraza la mawaziri lajiuzulu Misri