Sura mpya Baraza la Mawaziri
Baada ya kuapishwa kushika madaraka ya Rais, kibarua kizito cha Dk John Magufuli ni kuunda Baraza la Mawaziri litakaloendana na kasi ya kaulimbiu yake ya ‘Hapa kazi tu’, ambalo ni wazi litajaa sura nyingi mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Jan
Sura mpya kumi Baraza la Mawaziri
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kujaza nafasi za mawaziri watano walioacha nafasi zao wazi, kutokana na sababu mbalimbali. Katika uteuzi huo, Rais Kikwete ameteua mawaziri wapya wawili na Naibu mawaziri wapya wanane, huku akiwapandisha vyeo naibu mawaziri wanne kuwa mawaziri kamili.
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Sura mpya 17 ndani baraza la JPM
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Askofu Shoo: Tunatarajia baraza lenye sura mpya
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Baraza la Mawaziri ni sheikh yule yule katika kanzu mpya!
WASWAHILI watakuambia ni sheikh yule yule ndani ya kanzu mpya. Wazungu watakuambia ni mvinyo ule ule kwenye chupa mpya. Naam, hilo ndilo Baraza la Mawaziri lililorekebishwa. Watu walikuwa macho wazi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s72-c/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s1600/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TNv7dtVtpYpddUHzT520rw12Z2cfYn6gy*aOzzrEdcuTToxtzaQZ14*1ZliuWXchYgwc1PJB1AxNN*sfdmPaxTQ/mawaziri.jpg?width=650)
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-I66htMIB39c/UykSHlcCRQI/AAAAAAAFUzU/nrXFdyevNwk/s72-c/IMG_2839.jpg)
sura mpya ya dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-I66htMIB39c/UykSHlcCRQI/AAAAAAAFUzU/nrXFdyevNwk/s1600/IMG_2839.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g87wrbjTHa4/UykSHiFfb2I/AAAAAAAFUzM/86496-4fEeI/s1600/IMG_2841.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dusFJYCp-C4/UykSHvNiNAI/AAAAAAAFUzQ/2VeU322UlvE/s1600/IMG_2844.jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Dk Magufuli akamilisha Baraza la Mawaziri