Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sura mpya 17 ndani baraza la JPM

Miongoni mwa mawaziri na manaibu waziri walioteuliwa kwenye baraza jipya la  Rais John Magufuli, zimo sura mpya 17 ambazo zimeteuliwa kwa mara ya kwanza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Sura mpya Baraza la Mawaziri

Baada ya kuapishwa kushika madaraka ya Rais, kibarua kizito cha Dk John Magufuli ni kuunda Baraza la Mawaziri litakaloendana na kasi ya kaulimbiu yake ya ‘Hapa kazi tu’, ambalo ni wazi litajaa sura nyingi mpya.

 

11 years ago

Habarileo

Sura mpya kumi Baraza la Mawaziri

RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kujaza nafasi za mawaziri watano walioacha nafasi zao wazi, kutokana na sababu mbalimbali. Katika uteuzi huo, Rais Kikwete ameteua mawaziri wapya wawili na Naibu mawaziri wapya wanane, huku akiwapandisha vyeo naibu mawaziri wanne kuwa mawaziri kamili.

 

9 years ago

Mwananchi

Askofu Shoo: Tunatarajia baraza lenye sura mpya

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo amesema Watanzania wanatarajia kuona sura mpya katika baraza la mawaziri lijalo.

 

9 years ago

Habarileo

JPM arejesha sura 13, atema 13 wa Kikwete

RAIS John Magufuli amerejesha sura 13 zilizokuwemo kwenye Serikali ya Awamu ya Nne, ambao sasa wanaunda Baraza lake la Mawaziri la watu 34 na kuwatupa mawaziri wengine 13 walioshinda ubunge.

 

10 years ago

Michuzi

Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro

Na Magreth Kinabo
WANANCHI   wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa  sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno  ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana  na  Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha   Rose Migiro wakati  wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana  wanaoishi katika mazingira hatarishi  ya WAMA  Nakayama, iliyopo  wilayani Rufiji...

 

9 years ago

Mwananchi

Maprofesa, madaktari watawala baraza la JPM

Rais John Magufuli amekamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri ambalo asilimia 53 ya wajumbe wote ni wasomi na wataalamu wa nyanja mbalimbali za kitaaluma.

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania wanamatarajio makubwa kwa baraza la JPM

Bunge la Kumi na Moja chini ya Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais John Magufuli litaanza kazi rasmi Januari 26 mwakani takriban mwezi mmoja na nusu hivi kuanzia sasa. Kwa muda wa mwezi mmoja na siku tano tangu aapishwe, Rais Magufuli ametangaza baraza lake la mawaziri huku akiacha nafasi nne za mawaziri.

 

9 years ago

Mwananchi

Siku 20 ndani ya Ikulu JPM vs JK

Kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo Rais John Magufuli katika muda wa siku 20 inaonekana kubwa na ya aina yake lakini hivyo ndivyo ilikuwa kwa mtangulizi wake, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, miaka 10 iliyopita.     

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani