Sura mpya 17 ndani baraza la JPM
Miongoni mwa mawaziri na manaibu waziri walioteuliwa kwenye baraza jipya la Rais John Magufuli, zimo sura mpya 17 ambazo zimeteuliwa kwa mara ya kwanza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Sura mpya Baraza la Mawaziri
11 years ago
Habarileo20 Jan
Sura mpya kumi Baraza la Mawaziri
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kujaza nafasi za mawaziri watano walioacha nafasi zao wazi, kutokana na sababu mbalimbali. Katika uteuzi huo, Rais Kikwete ameteua mawaziri wapya wawili na Naibu mawaziri wapya wanane, huku akiwapandisha vyeo naibu mawaziri wanne kuwa mawaziri kamili.
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Askofu Shoo: Tunatarajia baraza lenye sura mpya
9 years ago
Habarileo11 Dec
JPM arejesha sura 13, atema 13 wa Kikwete
RAIS John Magufuli amerejesha sura 13 zilizokuwemo kwenye Serikali ya Awamu ya Nne, ambao sasa wanaunda Baraza lake la Mawaziri la watu 34 na kuwatupa mawaziri wengine 13 walioshinda ubunge.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s72-c/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s1600/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Maprofesa, madaktari watawala baraza la JPM
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Watanzania wanamatarajio makubwa kwa baraza la JPM
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Siku 20 ndani ya Ikulu JPM vs JK