Watanzania wanamatarajio makubwa kwa baraza la JPM
Bunge la Kumi na Moja chini ya Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais John Magufuli litaanza kazi rasmi Januari 26 mwakani takriban mwezi mmoja na nusu hivi kuanzia sasa. Kwa muda wa mwezi mmoja na siku tano tangu aapishwe, Rais Magufuli ametangaza baraza lake la mawaziri huku akiacha nafasi nne za mawaziri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Sura mpya 17 ndani baraza la JPM
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Maprofesa, madaktari watawala baraza la JPM
10 years ago
Habarileo19 Oct
RC akiri Watanzania wakijituma hufanya mambo makubwa
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki, amesema, Watanzania wakijituma, wakiwa waadilifu na waaminifu watafanya mambo makubwa yenye manufaa kwa maisha yao na nchi yao.
11 years ago
Habarileo21 Mar
Tufanye kazi, Watanzania wana matarajio makubwa—Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameeleza kuwa Watanzania wana matarajio makubwa kutokana na kugunduliwa kwa hazina kubwa ya gesi katika maeneo ya kina kirefu cha bahari.
10 years ago
VijimamboSHUKURANI KWA WATANZANIA KUTOKA KWA FAMILIA YA MAGEGE NA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvaniakwa pamoja na Magege's Family,Tunatoa shukurani zetu za dhati kwa wotewaliojitokeza kwa namna Moja au nyengine katika kufanikisha mazishi yaMpendwa Mzee wetu Alfred Magege.Kwa pamoja tumefarijika na upendo mliotuonyesha katika Kipindi chotecha Msiba wa Mzee wetu naHatuna cha kuwalipa isipokuwa kukuombeeni dua kwa Mwenyezi Munguakuzidishieni Baraka na Daima tuendelee kuwa wamoja katika shida naraha.
Vile vile Tunatoa...
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
10 years ago
Vijimambo24 Mar
WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa
ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...