Maprofesa, madaktari watawala baraza la JPM
Rais John Magufuli amekamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri ambalo asilimia 53 ya wajumbe wote ni wasomi na wataalamu wa nyanja mbalimbali za kitaaluma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
Utata kuhusu ukubwa/udogo wa serikali, madaktari na maprofesa
KWA mwendo wa taratibu, Rais John Magufuli ameendelea kukamilisha barala la mawaziri atakalofanya
Jenerali Ulimwengu
5 years ago
CCM BlogDC MPYA ARUSHA AWAAMBIA MADAKTARI JINSI SERIKALI YA JPM ILIVYOLETA MAPINDUZI KWENYE SEKTA YA AFYA
DC Kihongosi aliyasema hayo juzi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi kwa madaktari na watoa huduma ya afya ambayo aliyafungua kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Iddi Hassan Kimanta.
Mafunzo hayo...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Sura mpya 17 ndani baraza la JPM
Miongoni mwa mawaziri na manaibu waziri walioteuliwa kwenye baraza jipya la Rais John Magufuli, zimo sura mpya 17 ambazo zimeteuliwa kwa mara ya kwanza.
11 years ago
Habarileo25 Jul
Baraza la Madaktari labebeshwa mzigo
TUKIO la utupaji wa viungo vya binadamu jalalani, linalodaiwa kufanywa na Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) cha Dar es Salaam, linadaiwa kuandika historia mbaya nchini.
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Watanzania wanamatarajio makubwa kwa baraza la JPM
Bunge la Kumi na Moja chini ya Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais John Magufuli litaanza kazi rasmi Januari 26 mwakani takriban mwezi mmoja na nusu hivi kuanzia sasa. Kwa muda wa mwezi mmoja na siku tano tangu aapishwe, Rais Magufuli ametangaza baraza lake la mawaziri huku akiacha nafasi nne za mawaziri.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y8zHW7EXTsY/XvY5AVCQ4DI/AAAAAAALvmM/lcLK2lj7iTEuYaZhzFvUSIYQ487W--NbQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B7.42.04%2BPM.jpeg)
MSAJILI BARAZA LA VETERINARI AWATAKA MADAKTARI WA MIFUGO KUHUISHA MAJINA YAO KWENYE DAFTARI LA USAJILI
MSAJILI wa Baraza la Veterinari Tanzania, Dkt Bedan Masuruli amewataka Madaktari wa Mifugo nchini kuhuisha majina yao kwenye daftari la usajili wa madaktari wa mifugo kabla ya Julai 1, 2020.
Akizungumza na jijini Dodoma leo, Dkt. Masuruli amesema ni muhimu wataalam kuhuisha majina yao ili baraza liweze kufahamu wako wapi, wanafanya nini na wanatoa huduma gani.
"Nasisitiza madaktari wote wa mifugo ambao hawajahuisha taarifa zao kwenye daftari la usajili wa madaktari wafanye hivyo kuanzia leo...
Akizungumza na jijini Dodoma leo, Dkt. Masuruli amesema ni muhimu wataalam kuhuisha majina yao ili baraza liweze kufahamu wako wapi, wanafanya nini na wanatoa huduma gani.
"Nasisitiza madaktari wote wa mifugo ambao hawajahuisha taarifa zao kwenye daftari la usajili wa madaktari wafanye hivyo kuanzia leo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-clg0giDo4Sw/VjGCK8XC2dI/AAAAAAAIDUE/tQHfKLLGKi4/s72-c/16475126-Teacher-Stock-Vector-professor-teacher-cap.jpg)
Maprofesa na Wajibu wa Kuandika - Prof. Mbele
Na Profesa Joseph Mbele![](http://2.bp.blogspot.com/-clg0giDo4Sw/VjGCK8XC2dI/AAAAAAAIDUE/tQHfKLLGKi4/s1600/16475126-Teacher-Stock-Vector-professor-teacher-cap.jpg)
Profesa ni mtu aliyefikia kiwango cha juu cha ufanisi katika ufundishaji, utafiti, uandishi, na kutoa ushauri kwa jamii katika masuala mbali mbali yanayohusiana na utaalam wake. Siwezi kuongelea hapa vipengele vyote vya suala hili, kama vile vigezo vinavyotumika katika kupima ufanisi wa mhusika hadi kumfikisha kwenye hadhi ya uprofesa. Ninakumbushia tu suala la wajibu wa profesa wa kuandika.
Baadhi yetu wa-Tanzania tumeliwazia na kuliongelea suala hili kwa miaka mingi,...
![](http://2.bp.blogspot.com/-clg0giDo4Sw/VjGCK8XC2dI/AAAAAAAIDUE/tQHfKLLGKi4/s1600/16475126-Teacher-Stock-Vector-professor-teacher-cap.jpg)
Profesa ni mtu aliyefikia kiwango cha juu cha ufanisi katika ufundishaji, utafiti, uandishi, na kutoa ushauri kwa jamii katika masuala mbali mbali yanayohusiana na utaalam wake. Siwezi kuongelea hapa vipengele vyote vya suala hili, kama vile vigezo vinavyotumika katika kupima ufanisi wa mhusika hadi kumfikisha kwenye hadhi ya uprofesa. Ninakumbushia tu suala la wajibu wa profesa wa kuandika.
Baadhi yetu wa-Tanzania tumeliwazia na kuliongelea suala hili kwa miaka mingi,...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Washangaa maprofesa kuwasilisha maoni sasa
Kitendo cha maprofesa kuwasilisha kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samia Suluhu Hassan kitabu kiitwacho ‘Katiba Bora Tanzania’ huku kamati za bunge hilo zikijadili Rasimu ya Katiba kimeibua maswali mengi kwa wananchi .
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Nini kinawakwaza maprofesa katika siasa?
Sitaki kuamini kuwa ule usemi wa nabii hakubaliki kwao ndiyo unawafanya maprofesa waliowahi kuteuliwa katika baraza la mawaziri kukwama kuonyesha ujuzi wao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania