MSAJILI BARAZA LA VETERINARI AWATAKA MADAKTARI WA MIFUGO KUHUISHA MAJINA YAO KWENYE DAFTARI LA USAJILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-y8zHW7EXTsY/XvY5AVCQ4DI/AAAAAAALvmM/lcLK2lj7iTEuYaZhzFvUSIYQ487W--NbQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B7.42.04%2BPM.jpeg)
MSAJILI wa Baraza la Veterinari Tanzania, Dkt Bedan Masuruli amewataka Madaktari wa Mifugo nchini kuhuisha majina yao kwenye daftari la usajili wa madaktari wa mifugo kabla ya Julai 1, 2020.
Akizungumza na jijini Dodoma leo, Dkt. Masuruli amesema ni muhimu wataalam kuhuisha majina yao ili baraza liweze kufahamu wako wapi, wanafanya nini na wanatoa huduma gani.
"Nasisitiza madaktari wote wa mifugo ambao hawajahuisha taarifa zao kwenye daftari la usajili wa madaktari wafanye hivyo kuanzia leo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWANAOSHINDWA KUKUMBUKA MAJINA YAO HUCHELEWESHA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA-JAJI KAIJAGE
Na Richard Mwaikenda
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), amesema kitendo cha baadhi wananchi kushindwa kukumbuka majina yao, kinasababisha ucheleweshwaji wa zoezi la Uboreshaji...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Oct
Majina ya wafu(Waliokufa) yadaiwa kuwa kwenye usajili
19 Oktoba 2015 Imebadilishwa mwisho Wakazi katika maeneo mengi Zanzibar wamekuwa wakifika vituo vya tume ya uchaguzi kuhakiki taarifa zao kuhakikisha majina na maelezo kuwahusu yamenakiliwa vyema. Baadhi wamedai kuona majina ya watu waliofariki kwenye sajili. […]
The post Majina ya wafu(Waliokufa) yadaiwa kuwa kwenye usajili appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
CCM BlogMSAJILI MKUU AWATAKA MAWAKILINA WATUMISHI KUJIKITA ZAIDI KWENYE MFUMO WA TEHAMA
///Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- Mahakama
Watumishi wa Mahakama ya Tanzania na Mawakili wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kupunguza msongamano wa watu mahakamani, kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona na kuokoa gharama za utoaji haki.
Akizungumza leo ofisini kwake, Msajili Mkuu wa Mahakama...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1n_8w9lgV8I/VU8feX8ybVI/AAAAAAAAbfU/exhCfydbJSY/s72-c/7.jpg)
NAPE AWATAKA VIJANA KUJIANDIKISHA KWA WINGI KWENYE DAFTARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1n_8w9lgV8I/VU8feX8ybVI/AAAAAAAAbfU/exhCfydbJSY/s640/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4SHfSJzGAEw/VU8fVr01wXI/AAAAAAAAbdw/YumZ3FbbvEc/s640/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-70TaQ_9J8gw/VU8fUZt8iOI/AAAAAAAAbdo/fNST8nHqXo8/s640/13.jpg)
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
RC na RAS nchini kujengewa uwezo na kuhuisha uhai wa utekelezaji wa majukumu yao
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akifungua mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Hawa Ghasia akimpongeza Mgeni Rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd na mara baada ya kufungua mkutano wa mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JjlrjOWX1qc/Vl7Knas61FI/AAAAAAADDIg/vlG__SBzO3M/s72-c/OTH_3308.jpg)
BALOZI SEFUE AWAAGIZA WATUMISHI WA UMMA KUVAA BEJI ZENYE MAJINA YAO WAWAPO KATIKA MAENEO YAO YA KAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JjlrjOWX1qc/Vl7Knas61FI/AAAAAAADDIg/vlG__SBzO3M/s640/OTH_3308.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D0qj5GQeaI4/Vl7KmA7BGHI/AAAAAAADDIY/e9jKFKxGbiM/s640/OTH_3304.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue akiwaonyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) beji yenye jina lake ambayo amewaagiza watumishi wa Umma kuivaa wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi. Balozi Sefue alifanya mkutano na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es Salaam jana na kutoa taarifa ya Serikali kuhusu kesi ya Serious Fraud Office (SFO) dhidi ya Standard Bank.
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Msajili wa vyama afute usajili wa CCM
WAHENGA walisema “mkataa kikoa ni mchawi.” Mtu anayekataa kushirikiana na wenzake ni kama mchawi. Methali hii yatunasihi tusiwe na tabia ya kutoshirikiana na wenzetu. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeonyesha dhahiri...
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Wafugaji mkoani Mara wageuka kuwa madaktari wa mifugo