Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC na RAS nchini kujengewa uwezo na kuhuisha uhai wa utekelezaji wa majukumu yao

01

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akifungua mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.

02

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Hawa Ghasia akimpongeza Mgeni Rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd na mara baada ya kufungua mkutano wa mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.

03

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali nchini kujengewa uwezo

SERIKALI kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), itaendelea kutoa mafunzo ya wafanyabiashara wadogo na wakati (SMEs) ili kuboresha uhusiano wao kibiashara, wafanyabishara wakubwa na makampuni. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri...

 

11 years ago

Michuzi

Wajasiriamali nchini kujengewa uwezo zaidi-Dr Nagu

SERIKALI kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), itaendelea kutoa mafunzo ya wafanyabiashara wadogo na wakati (SMEs) ilikuboresha zaidi mahusiano ya kibiashara na wafanyabishara wakubwa na makampuni.Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji),Dkt. Mary Nagu, alisema jijini Dar es Salaam hivi karibu kuwa tayari wajasiriamali  214 wameshafaidika na mafunzo hayo hapa nchini. Miongoni mwa walionufaika 152 ni wanaume na 62 ni wanawake.“Kupitia mafunzo haya, wajasiriamali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali kujengewa uwezo

SERIKALI kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), itaendelea kutoa mafunzo ya wafanyabiashara wadogo na wakati (SMEs) ili kuboresha uhusiano wao kibiashara na wafanyabishara wakubwa na makampuni. Kauli hiyo ilitolewa na...

 

9 years ago

Michuzi

BIMAAFYA TANZANIA YACHAGULIWA KWENYE MPANGO WA KUJENGEWA UWEZO

MPANGO wa bima ya afya kwa njia ya simu za kiganjani unaolenga kaya maskini na sekta isiyokuwa rasmi ujulikanao kama BimaAfya umechaguliwa kushiriki katika mpango wa miezi mitatu wa kujengewa uwezo unaoitwa Startupbootcamp InsurTech utakaofanyika jijini London. 
Kupitia Startupbootcamp InsurTech, mpango wa BimaAfya utaweza kujipatia jumla ya Euro 15,000 (sh 35.3m) kwa ajili ya uwekezaji na Euro 450,000 ( zaidi ya sh 1bn) kwa ajili ya huduma mbali mbali kwenye utekelezaji wake.
Zaidi mawazo ya...

 

9 years ago

StarTV

Mapambano dhidi ya Ukimwi Kamati za Shehia zatakiwa kujengewa uwezo

Uwezeshaji wa kamati za shehia na kuzijengea uwezo katika kupambana na udhalilishaji wa kijinsia na mapambano ya vitendo vinavyosababisha maambukizi ya virusi vya ukimwi ni njia muhimu inayoweza kuiepusha jamii na majanganga yanayowaathiri zaidi vijana.

Uundaji wa kamati katika shehia na ufuatiliaji unahitajika ili kuishirikisha jamii moja kwa moja hasa ikizingatiwa kuwa pamoja na jitihada za wadau mbalimbali juu ya matatizo hayo  bado yanaendelea  kwa kasi.

Shehiya ya Koani iliopo wilaya ya...

 

5 years ago

Michuzi

ASKARI ZIMAMOTO KIWANJA CHA NDEGE DODOMA KUJENGEWA UWEZO KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA


 Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Zimamoto na Uokoaji (ACF) Gilbert Mvungi, akizungumza na Maafisa na Akari wa Jeshi hilo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo Maafisa na Akari wa Kiwanja cha Ndege Jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika katika Ofisi za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kiwanja cha Ndege jijini Dodoma na kuratibiwa na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini (TAA) kwa kushirikiana na Jeshi la...

 

11 years ago

Michuzi

Waziri wa Mambo ya Nje azungumzia Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Waandishi wa Habari ( hawapo pichani) juu ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kiamataifa katika Ofisi za Idara ya Habari (Maelezo). Wakati wa Mkutano huo Mhe. Membe alizungumzia masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutetea suala la Uraia wa Nchi mbili kwa Watanzania waishio ughaibuni kupitia Bunge Maalum la Katiba, Kuchaguliwa tena kwa Tanzania kwenye Baraza...

 

5 years ago

Michuzi

MSAJILI BARAZA LA VETERINARI AWATAKA MADAKTARI WA MIFUGO KUHUISHA MAJINA YAO KWENYE DAFTARI LA USAJILI

MSAJILI wa Baraza la Veterinari Tanzania, Dkt Bedan Masuruli amewataka Madaktari wa Mifugo nchini kuhuisha majina yao kwenye daftari la usajili wa madaktari wa mifugo kabla ya  Julai 1, 2020.

Akizungumza na jijini Dodoma leo,  Dkt. Masuruli amesema ni muhimu wataalam kuhuisha majina yao ili baraza liweze kufahamu wako wapi, wanafanya nini na wanatoa huduma gani.

"Nasisitiza madaktari wote wa mifugo ambao hawajahuisha taarifa zao kwenye daftari la usajili wa madaktari wafanye hivyo kuanzia leo...

 

11 years ago

Mwananchi

Watendaji watakiwa kutekeleza majukumu yao

Watendaji wa kata na vijiji wapewa onyo kali kwa kutokuhifadhi mihutasari ya vikao na kutokuweka mipango thabiti ya matumizi ya ardhi kwa wanavijiji wao hali ambayo inachangia kuwapo kwa migogoro ya muda mrefu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani