RC na RAS nchini kujengewa uwezo na kuhuisha uhai wa utekelezaji wa majukumu yao
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akifungua mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Hawa Ghasia akimpongeza Mgeni Rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd na mara baada ya kufungua mkutano wa mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wajasiriamali nchini kujengewa uwezo
SERIKALI kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), itaendelea kutoa mafunzo ya wafanyabiashara wadogo na wakati (SMEs) ili kuboresha uhusiano wao kibiashara, wafanyabishara wakubwa na makampuni. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-unHIwAIZ8PM/U8LE74puILI/AAAAAAAF13Y/LHyy6E8qcjU/s72-c/1009.jpg)
Wajasiriamali nchini kujengewa uwezo zaidi-Dr Nagu
![](http://4.bp.blogspot.com/-unHIwAIZ8PM/U8LE74puILI/AAAAAAAF13Y/LHyy6E8qcjU/s1600/1009.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Wajasiriamali kujengewa uwezo
SERIKALI kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), itaendelea kutoa mafunzo ya wafanyabiashara wadogo na wakati (SMEs) ili kuboresha uhusiano wao kibiashara na wafanyabishara wakubwa na makampuni. Kauli hiyo ilitolewa na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y6llQ41HtVs/Vmkxcq8mFQI/AAAAAAAILVE/-F6i_wycph8/s72-c/New%2BPicture.png)
BIMAAFYA TANZANIA YACHAGULIWA KWENYE MPANGO WA KUJENGEWA UWEZO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y6llQ41HtVs/Vmkxcq8mFQI/AAAAAAAILVE/-F6i_wycph8/s320/New%2BPicture.png)
Kupitia Startupbootcamp InsurTech, mpango wa BimaAfya utaweza kujipatia jumla ya Euro 15,000 (sh 35.3m) kwa ajili ya uwekezaji na Euro 450,000 ( zaidi ya sh 1bn) kwa ajili ya huduma mbali mbali kwenye utekelezaji wake.
Zaidi mawazo ya...
9 years ago
StarTV26 Dec
Mapambano dhidi ya Ukimwi Kamati za Shehia zatakiwa kujengewa uwezo
Uwezeshaji wa kamati za shehia na kuzijengea uwezo katika kupambana na udhalilishaji wa kijinsia na mapambano ya vitendo vinavyosababisha maambukizi ya virusi vya ukimwi ni njia muhimu inayoweza kuiepusha jamii na majanganga yanayowaathiri zaidi vijana.
Uundaji wa kamati katika shehia na ufuatiliaji unahitajika ili kuishirikisha jamii moja kwa moja hasa ikizingatiwa kuwa pamoja na jitihada za wadau mbalimbali juu ya matatizo hayo bado yanaendelea kwa kasi.
Shehiya ya Koani iliopo wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HK0yX5Vs2gI/Xl7CRmuEHjI/AAAAAAALgzE/oKZ3VfUaZCMIb3reewc1F2688ZBrPNStgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-2-768x512.jpg)
ASKARI ZIMAMOTO KIWANJA CHA NDEGE DODOMA KUJENGEWA UWEZO KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HK0yX5Vs2gI/Xl7CRmuEHjI/AAAAAAALgzE/oKZ3VfUaZCMIb3reewc1F2688ZBrPNStgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-2-768x512.jpg)
11 years ago
MichuziWaziri wa Mambo ya Nje azungumzia Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y8zHW7EXTsY/XvY5AVCQ4DI/AAAAAAALvmM/lcLK2lj7iTEuYaZhzFvUSIYQ487W--NbQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B7.42.04%2BPM.jpeg)
MSAJILI BARAZA LA VETERINARI AWATAKA MADAKTARI WA MIFUGO KUHUISHA MAJINA YAO KWENYE DAFTARI LA USAJILI
Akizungumza na jijini Dodoma leo, Dkt. Masuruli amesema ni muhimu wataalam kuhuisha majina yao ili baraza liweze kufahamu wako wapi, wanafanya nini na wanatoa huduma gani.
"Nasisitiza madaktari wote wa mifugo ambao hawajahuisha taarifa zao kwenye daftari la usajili wa madaktari wafanye hivyo kuanzia leo...
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Watendaji watakiwa kutekeleza majukumu yao