Wajasiriamali kujengewa uwezo
SERIKALI kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), itaendelea kutoa mafunzo ya wafanyabiashara wadogo na wakati (SMEs) ili kuboresha uhusiano wao kibiashara na wafanyabishara wakubwa na makampuni. Kauli hiyo ilitolewa na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wajasiriamali nchini kujengewa uwezo
SERIKALI kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), itaendelea kutoa mafunzo ya wafanyabiashara wadogo na wakati (SMEs) ili kuboresha uhusiano wao kibiashara, wafanyabishara wakubwa na makampuni. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri...
11 years ago
MichuziWajasiriamali nchini kujengewa uwezo zaidi-Dr Nagu
9 years ago
MichuziBIMAAFYA TANZANIA YACHAGULIWA KWENYE MPANGO WA KUJENGEWA UWEZO
Kupitia Startupbootcamp InsurTech, mpango wa BimaAfya utaweza kujipatia jumla ya Euro 15,000 (sh 35.3m) kwa ajili ya uwekezaji na Euro 450,000 ( zaidi ya sh 1bn) kwa ajili ya huduma mbali mbali kwenye utekelezaji wake.
Zaidi mawazo ya...
9 years ago
StarTV26 Dec
Mapambano dhidi ya Ukimwi Kamati za Shehia zatakiwa kujengewa uwezo
Uwezeshaji wa kamati za shehia na kuzijengea uwezo katika kupambana na udhalilishaji wa kijinsia na mapambano ya vitendo vinavyosababisha maambukizi ya virusi vya ukimwi ni njia muhimu inayoweza kuiepusha jamii na majanganga yanayowaathiri zaidi vijana.
Uundaji wa kamati katika shehia na ufuatiliaji unahitajika ili kuishirikisha jamii moja kwa moja hasa ikizingatiwa kuwa pamoja na jitihada za wadau mbalimbali juu ya matatizo hayo bado yanaendelea kwa kasi.
Shehiya ya Koani iliopo wilaya ya...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
RC na RAS nchini kujengewa uwezo na kuhuisha uhai wa utekelezaji wa majukumu yao
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akifungua mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Hawa Ghasia akimpongeza Mgeni Rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd na mara baada ya kufungua mkutano wa mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi...
5 years ago
MichuziASKARI ZIMAMOTO KIWANJA CHA NDEGE DODOMA KUJENGEWA UWEZO KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Zimamoto na Uokoaji (ACF) Gilbert Mvungi, akizungumza na Maafisa na Akari wa Jeshi hilo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo Maafisa na Akari wa Kiwanja cha Ndege Jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika katika Ofisi za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kiwanja cha Ndege jijini Dodoma na kuratibiwa na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini (TAA) kwa kushirikiana na Jeshi la...
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Mzumbe kujenga uwezo wa wajasiriamali Dar
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
CHUO Kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam, kinatarajia kuanza kuwajengea uwezo wajasiriamali wa viwanda vidogo ili kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuiendeleza sekta hiyo na kuwa na mchango mkubwa katika maendeleo.
Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Kaimu Makamu wa Chuo hicho, Profesa Josephat Itika, wakati wa mahafali ya 14 ambapo alisema kwa sasa kampasi hiyo inaandaa miradi mbalimbali ya ushauri na kozi fupi kwa kushirikiana na chuo cha...
9 years ago
Michuzimahafali ya 14 ya Mzumbe kampasi ya dar es salaam yafana, chuo chaazimia kujenga uwezo wa wajasiriamali wa viwanda vidogo
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...