mahafali ya 14 ya Mzumbe kampasi ya dar es salaam yafana, chuo chaazimia kujenga uwezo wa wajasiriamali wa viwanda vidogo
Chuo Kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam kinatarajia kuanza kuwajengea uwezo wajasiriamali wa viwanda vidogo ili kuunga mkono juhudi za serikali katika kuiendeleza sekta hiyo na kuwa na mchango mkubwa katika maendeleo. Kaimu Makamu wa Chuo hicho, Profesa Josephat Itika alisema wakati wa mahafali ya 14 kuwa kwa sasa Kampasi hiyo inaandaa miradi mbalimbali ya ushauri na kozi fupi kwa kushirikiana na chuo cha Stellenbosch cha Afrika Kusini tayari kuanza kwa mpango huo mwakani. Alisema pia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Dec
Leo ni mahafali ya kampasi ya Mzumbe Dar es Salaam
WAHITIMU 1,225 wanatarajia kupata shahada za uzamili katika programu mbalimbali wakati wa mahafali ya 12 ya Chuo Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam leo.
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Mzumbe kujenga uwezo wa wajasiriamali Dar
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
CHUO Kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam, kinatarajia kuanza kuwajengea uwezo wajasiriamali wa viwanda vidogo ili kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuiendeleza sekta hiyo na kuwa na mchango mkubwa katika maendeleo.
Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Kaimu Makamu wa Chuo hicho, Profesa Josephat Itika, wakati wa mahafali ya 14 ambapo alisema kwa sasa kampasi hiyo inaandaa miradi mbalimbali ya ushauri na kozi fupi kwa kushirikiana na chuo cha...
5 years ago
MichuziBARAZA LA CHUO KIKUU MZUMBE LAKAGUA UKARABATI, UJENZI KAMPASI YA DAR ES SALAAM-TEGETA
Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka, amesema ukarabati huo na ujenziumekamilika kwa asilimia 98, na kwamba majengo hayo yako tayari kutumika pindiidhini ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania itakapotolewa.
Baraza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cb2kCUfgwTA/Xr9obvtGYII/AAAAAAALqZg/NjV68jQBTJ0EdcGsEYjtKkC5sPCI459jwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.27%2BPM.jpeg)
Profesa Mdoe akagua ukarabati, ujenzi wa chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-cb2kCUfgwTA/Xr9obvtGYII/AAAAAAALqZg/NjV68jQBTJ0EdcGsEYjtKkC5sPCI459jwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.27%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uhaFXzq1GJY/Xr9odCUmawI/AAAAAAALqZw/3BMpXZqS2P8WMyikKKnKnq01oZ2LHM9xQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.32%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bwg4HH0doE4/Xr9odbppmgI/AAAAAAALqZ0/S6kIvPS-IE4LpZ2vK_nr8KVmyoL4HOChACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.33%2BPM.jpeg)
10 years ago
Vijimambo06 Dec
MAHAFALI YA 49 YA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA(CBE) KAMPASI YA MBEYA YAFANA.
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Mahafali ya 12 ya Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) yafana, jijini Dar es Salaam
Kikosi cha band cha Jeshi la Magereza kikiongoza maandamano kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo.
![5](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/52.jpg)
10 years ago
GPLMAHAFALI YA 12 YA CHUO CHA UHASIBU TANZANIA (TIA) YAFANA, JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Mkuu wa Mkoa wa Arusha awataka wajasiriamali wa viwanda vidogo vidogo kutengeneze bidhaa zenye ubora
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o5YoythCoXU/VnRXLm7IO7I/AAAAAAAINS8/2_lz8wSLC2Y/s72-c/3b0e10ac-8022-49f6-8f98-7f615e5fe218.jpg)
NAHODHA WA ZAMANI WA YANGA NA TIMU YA TAIFA ALAMBA NONDOZZZ YA SHAHADA YA PILI KATIKA CHUO KIKUU CHA MZUMBE KAMPASI YA DARA ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5YoythCoXU/VnRXLm7IO7I/AAAAAAAINS8/2_lz8wSLC2Y/s640/3b0e10ac-8022-49f6-8f98-7f615e5fe218.jpg)