NAHODHA WA ZAMANI WA YANGA NA TIMU YA TAIFA ALAMBA NONDOZZZ YA SHAHADA YA PILI KATIKA CHUO KIKUU CHA MZUMBE KAMPASI YA DARA ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5YoythCoXU/VnRXLm7IO7I/AAAAAAAINS8/2_lz8wSLC2Y/s72-c/3b0e10ac-8022-49f6-8f98-7f615e5fe218.jpg)
Aliyewahi kuwa nahodha wa Yanga na Timu ya Taifa (Taifa Stars) Ally Mayay Tembele alikuwa ni miongoni mwa wahitimu zaidi ya 800 waliotunukiwa shahada za uzamili katika fani mbalimbali kutoka katika Chuo kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es salaam .Katika sherehe hizo za mahafali ya 14 ya Chuo kikuu cha Mzumbe Kampasi ya DSM zilizofanyika katika ukumbi wa mikutano wa J.K.Nyerere jijini Dar es salaam, Tembele alitunukiwa Shahada ya Uzamili katika Sayansi ya Masoko(Msc Marketing...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cb2kCUfgwTA/Xr9obvtGYII/AAAAAAALqZg/NjV68jQBTJ0EdcGsEYjtKkC5sPCI459jwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.27%2BPM.jpeg)
Profesa Mdoe akagua ukarabati, ujenzi wa chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-cb2kCUfgwTA/Xr9obvtGYII/AAAAAAALqZg/NjV68jQBTJ0EdcGsEYjtKkC5sPCI459jwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.27%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uhaFXzq1GJY/Xr9odCUmawI/AAAAAAALqZw/3BMpXZqS2P8WMyikKKnKnq01oZ2LHM9xQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.32%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bwg4HH0doE4/Xr9odbppmgI/AAAAAAALqZ0/S6kIvPS-IE4LpZ2vK_nr8KVmyoL4HOChACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.33%2BPM.jpeg)
5 years ago
MichuziBARAZA LA CHUO KIKUU MZUMBE LAKAGUA UKARABATI, UJENZI KAMPASI YA DAR ES SALAAM-TEGETA
Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka, amesema ukarabati huo na ujenziumekamilika kwa asilimia 98, na kwamba majengo hayo yako tayari kutumika pindiidhini ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania itakapotolewa.
Baraza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RooJcNG9KFk/VH3YHrGIoYI/AAAAAAAG01o/grYZ9-MMmAY/s72-c/IMG-20141202-WA011.jpg)
Mpiganaji Godfrey Monyo wa ITV na RadioOne alamba Nondozzz yake katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-RooJcNG9KFk/VH3YHrGIoYI/AAAAAAAG01o/grYZ9-MMmAY/s1600/IMG-20141202-WA011.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-e0BaIHg1-MY/VH3YFj8rUWI/AAAAAAAG01Q/wV4fzXTTn50/s1600/IMG-20141202-WA007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7tiEgcbR72Q/VH3YFgv0a_I/AAAAAAAG01U/k1RtEinc7wI/s1600/IMG-20141202-WA008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1mlyrdmGsu4/VH3YFi4Fu4I/AAAAAAAG01Y/tOUPqmeh7z8/s1600/IMG-20141202-WA009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tgboL5SAURQ/VH3YHHFemOI/AAAAAAAG01k/Xk3tE9SCNmg/s1600/IMG-20141202-WA010.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/IMG-20131221-WA000.jpg?width=600)
MARGARETH SIMALENGA ATUNUKIWA SHAHADA YAKE CHUO KIKUU CHA MZUMBE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eh-smpWaylc/VISWP7GrPMI/AAAAAAAG1yU/ep5z6oS3DYk/s72-c/IMG_3237.jpg)
nondozzz chuo kikuu Mzumbe mjini morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-eh-smpWaylc/VISWP7GrPMI/AAAAAAAG1yU/ep5z6oS3DYk/s1600/IMG_3237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1PANWYWGKrc/VISWeZK-dsI/AAAAAAAG1yk/IaLhmVWzMzU/s1600/IMG_3272.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b-vf1oFFkX0/VISWc_MiNMI/AAAAAAAG1yc/ftjVmUHFjS0/s1600/IMG_3274.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6M3W_TsnCxc/VneAGEajBvI/AAAAAAAINmo/u7CdCFXyTAE/s72-c/bb.jpg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN MAALIM DR ALI AHMED SALEH ALAMBA NONDOZ YA SHAHADA YA UZAMIFU YA FALSAFA YA UDAKTARI (Phd) YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA(OUT)KATIKA MAHAFALI YA 29 HAPO TAREHE 16/12/15
![](http://1.bp.blogspot.com/-6M3W_TsnCxc/VneAGEajBvI/AAAAAAAINmo/u7CdCFXyTAE/s640/bb.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cqokYXO_vLE/Xs1rZmTOTiI/AAAAAAALrqM/atZZyU81f4UMUNUImzzEaGVm2lKIDC9SwCLcBGAsYHQ/s72-c/51896bd8-3bcb-4cef-beb5-e71dea6d870f.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-N6m45CtV57o/VIqMy3GwqpI/AAAAAAAG2rQ/cVbSXfAR4oM/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
MDAU NGULI CHIEF MKWAWA ALAMBA NONDOZZZ INGINE YA UZAMILI KUTOKA CHUO KIKUU HURIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-N6m45CtV57o/VIqMy3GwqpI/AAAAAAAG2rQ/cVbSXfAR4oM/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Sabina Leonce Komba atunukiwa Shahada yake ya pili katika Uongozi wa Miradi Chuo Kikuu Huria
Sabina Leonce Komba ambaye ni mtumishi wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) akipozi kwa picha mara baada ya kutunukiwa Shahada yake ya pili (Masters) ya Uongozi wa Miradi aliyoipata Katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kwenye mahafali ya 27 ya chuo hicho yaliyofanyika Desemba 16 mwaka huu katika viwanja vya Bungo Kibaha mkoani Pwani.
Sabina Leonce Komba ambaye ni mtumishi wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF akipozi kwa picha na wenzake katika mahafali hayo.
Sabina Leonce Komba...