Profesa Mdoe akagua ukarabati, ujenzi wa chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-cb2kCUfgwTA/Xr9obvtGYII/AAAAAAALqZg/NjV68jQBTJ0EdcGsEYjtKkC5sPCI459jwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.27%2BPM.jpeg)
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa James Mdoe akisaini kitabu cha wageni mara bada ya kuwasiri katika chuo kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam-Tegeta, kwaajili ya kuangalia maendeleo ya ukarabati na ujenzi wa Vyumba vya madarasa.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa James Mdoe akiwa ameamatana na wafanyakazi wa chuo kikuu cha mzumbe wakitembelea majengo ya chuo kikuu cha Mzumbe jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Katibu Mkuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBARAZA LA CHUO KIKUU MZUMBE LAKAGUA UKARABATI, UJENZI KAMPASI YA DAR ES SALAAM-TEGETA
Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka, amesema ukarabati huo na ujenziumekamilika kwa asilimia 98, na kwamba majengo hayo yako tayari kutumika pindiidhini ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania itakapotolewa.
Baraza...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o5YoythCoXU/VnRXLm7IO7I/AAAAAAAINS8/2_lz8wSLC2Y/s72-c/3b0e10ac-8022-49f6-8f98-7f615e5fe218.jpg)
NAHODHA WA ZAMANI WA YANGA NA TIMU YA TAIFA ALAMBA NONDOZZZ YA SHAHADA YA PILI KATIKA CHUO KIKUU CHA MZUMBE KAMPASI YA DARA ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5YoythCoXU/VnRXLm7IO7I/AAAAAAAINS8/2_lz8wSLC2Y/s640/3b0e10ac-8022-49f6-8f98-7f615e5fe218.jpg)
9 years ago
Michuzimahafali ya 14 ya Mzumbe kampasi ya dar es salaam yafana, chuo chaazimia kujenga uwezo wa wajasiriamali wa viwanda vidogo
11 years ago
Habarileo20 Dec
Leo ni mahafali ya kampasi ya Mzumbe Dar es Salaam
WAHITIMU 1,225 wanatarajia kupata shahada za uzamili katika programu mbalimbali wakati wa mahafali ya 12 ya Chuo Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam leo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
5 years ago
MichuziSUMA JKT WATAKIWA KUONGEZA KASI UJENZI WA HOSTELI CHUO KIKUU MZUMBE
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe (kushoto) akiwa ameambatana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. Lughano Kusiluka akipokea maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi kutoka kwa msimamizi wa mradi huo.
Naibu Katibu Mkuu wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia akitoa maelekezo kwa wasimamizi wa mradi wa ujenzi wa hosteli eneo la Maekani Kampasi Kuu Morogoro.
Viongozi wa Chuo Kikuu Mzumbe, wasimamizi wa mradi na mainjinia wa ujenzi wa hosteli wakisikiliza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ie43xXmRuEg/VQNooKKajGI/AAAAAAAHKK4/_WRB3bfSHFI/s72-c/mm1.jpg)
JK AFANIKISHA HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI, 1.6bn/- zapatikana usiku huu diamond jubilee hall dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ie43xXmRuEg/VQNooKKajGI/AAAAAAAHKK4/_WRB3bfSHFI/s1600/mm1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yxqZN51jFu8/XlaKgOsYYFI/AAAAAAALfkE/Hq77cbPEG8QrIz_0hB7A9QN5r4J3RsIcQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANAWAKE CHUO KIKUU MZUMBE WAKABIDHI JENGO LA CHOO CHA WAVULANA SHULE YA MSINGI MZUMBE
Ikiwa zimebaki siku chache kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka, Jumuiya ya Wanawake ya Chuo Kikuu Mzumbe wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo wamekabidhi choo cha Wavulana kwa shule ya msingi Mzumbe baada ya kukifanyia ukarabati.
Akizungumza kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo wakati wa hafla ya makabidhiano, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Fedha na Utawala Prof. Ernest Kihanga, ameipongeza Jumuiya ya Wanawake wafanyakazi wa Chuo Kikuu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EpMKUx7-Q3c/U-pjIhNqySI/AAAAAAAF_CE/Ax6718MSuGk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MAGUFULI AKAGUA MIZANI YA KISASA YA VIGWAZA MKOANI PWANI PAMOJA NA UJENZI WA BARABARA YA KIBAMBA-KWEMBE-MAKONDEKO (17KM) ITAKAYOPITA KATIKA CHUO KIKUU CHA MUHIMBILI, MLOGANZILA, KIBAMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EpMKUx7-Q3c/U-pjIhNqySI/AAAAAAAF_CE/Ax6718MSuGk/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lBlRrWVh83k/U-pjJ9lCBqI/AAAAAAAF_CM/gF9e39XJUYY/s1600/unnamed%2B(4).jpg)