Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSAJILI MKUU AWATAKA MAWAKILINA WATUMISHI KUJIKITA ZAIDI KWENYE MFUMO WA TEHAMA


Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Wilbert Chuma akizungumzia kuhusu matumizi ya mfumo wa kusajili mashauri kwa njia mtandao.
///Na Magreth  Kinabo na Innocent Kansha-  Mahakama
Watumishi wa Mahakama ya Tanzania na Mawakili wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kupunguza msongamano wa watu mahakamani, kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona na kuokoa gharama za  utoaji haki.
Akizungumza leo ofisini kwake, Msajili Mkuu wa Mahakama...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MSAJILI MKUU AWATAKA MAWAKILI, WATUMISHI KUUISHI MFUMO WA TEHAMA

Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- MahakamaWATUMISHI wa Mahakama ya Tanzania na Mawakili wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kupunguza msongamano wa watu mahakamani, kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona na kuokoa gharama za utoaji haki.
Akizungumza leo ofisini kwake, Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe.Wilbert Chuma alisema matumizi ya TEHAMA kwa watumishi na Mawakili yawe ni sehemu ya utendaji kazi wao wa kila siku...

 

5 years ago

Michuzi

MSAJILI MKUU WA MAHAKAMA AWATAKA MAWAKILI NA WATUMISHI KUWA MSTARI WA MBELE KUTUMIA MFUMO WA TEHAMA




Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe.Wilbert Chuma akizungumzia kuhusu matumizi ya mfumo wa kusajili mashauri kwa njia mtandao.

***************************

Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- Mahakama

Watumishi wa Mahakama ya Tanzania na Mawakili wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kupunguza msongamano wa watu mahakamani, kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona na kuokoa gharama za utoaji haki.

Akizungumza leo ofisini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watendaji, watumishi wa umma watakiwa kujikita kwenye kilimo cha biashara

DSC03705

Kaimu mkurugenzi mtendaji halmashauri ya Singida, Joseph Sabore, akitoa ufafanuzi wa ajenda zilizokuwa zikiwasilishwa mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani.Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Singida, Elia Didha na wa pili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi na wa kwanza kulia ni katibu CCM wilaya ya Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

KAIMU mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Singida, Elia Digha, amewahimiza watendaji kujenga utamaduni wa kujishughulisha...

 

5 years ago

Michuzi

MSAJILI BARAZA LA VETERINARI AWATAKA MADAKTARI WA MIFUGO KUHUISHA MAJINA YAO KWENYE DAFTARI LA USAJILI

MSAJILI wa Baraza la Veterinari Tanzania, Dkt Bedan Masuruli amewataka Madaktari wa Mifugo nchini kuhuisha majina yao kwenye daftari la usajili wa madaktari wa mifugo kabla ya  Julai 1, 2020.

Akizungumza na jijini Dodoma leo,  Dkt. Masuruli amesema ni muhimu wataalam kuhuisha majina yao ili baraza liweze kufahamu wako wapi, wanafanya nini na wanatoa huduma gani.

"Nasisitiza madaktari wote wa mifugo ambao hawajahuisha taarifa zao kwenye daftari la usajili wa madaktari wafanye hivyo kuanzia leo...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU KAILIMA AWATAKA WATUMISHI NIDA KUTUNZA SIRI, KUSHIRIKIANA NA KUWAJIBIKA

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima (katikati) akizungumza wakati akifungua Kikao cha Baraza la Wafanyakazi, Tawi la Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo. Kailima aliwataka watumishi wa NIDA kufanya kazi kwa kushirikiana, uwajibikaji kwa upande wa mwajiri na mwajiriwa, pamoja na kutunza siri za ofisi. Kulia ni Mwenyekiti wa Baraza hilo, Dkt. Arnold Kihaule. Kushoto ni Katibu wa Baraza, Lulu Ishengoma.  Picha...

 

5 years ago

Michuzi

DKT MWANJELWA AWATAKA WATUMISHI HOUSE KUWEKA KIPAUMBELE WATUMISHI WA UMMA KUNUNUA NYUMBA ZA TAASISI HIYO

NAIBU Waziri wa nchi ofisi ya Rais utumishi wa umma na utawala bora.Dkt Mary Mwanjelwa amewataka watumishi House kuweka kipaumbele Kwa watumishi wa umma kuweza kupata nafasi ya kununua nyumba ambazo zinajengwa na taasisi hiyo ya umma.
 Amesema licha kutoa kipaumbele Kwa watumishi wa umma lakini pia asilimia nyingine lazima iende Kwa  watumishi ambao wapo kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Dkt Mwanjelwa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kutembelea moja ya miradi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ajitambulisha kwa watumishi, awataka kufanya kazi kwa bidii

1

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, akiwaaga watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi (hawapo pichani) katika mkutano uliofanyika katika Makao Makuu ya Wizara hiyo. Katikati ni Katibu Mkuu mpya wa Wzara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira na kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Hassan Simba Yahaya.

2

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AJITAMBULISHA KWA WATUMISHI – AWATAKA KUFANYA KAZI KWA BIDII

 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, akimkabidhi Katibu Mkuu mpya, Meja Jenerali Projest Rwegasira, moja ya Nyaraka za Ofisi za Wizara hiyo kama ishara ya kumkabidhi ofisi.

Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakiwa katika mkutano wa kumuaga aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, na kuwakaribisha Katibu Mkuu mpya, Meja...

 

10 years ago

Michuzi

Vodacom kujikita zaidi kuboresha huduma za mawasiliano vijijini

Baada ya huduma za Kilimo Klub,M-Pesa na M-Pawa zinazotolewa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania kuonyesha mafanikio makubwa ya kutumia mapinduzi ya teknolojia ya simu za mkononi kuleta mabadiliko kwenye jamii,hivi sasa kampuni imejipanga kupeleka na kuboresha huduma za mawasiliano vijijini ili ziweze kuwafikia watanzania wengi.Hayo  yamebainishwa  na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Kampuni hiyo,Rosalynn Mworia kufuatia kampuni hiyo pamoja na makampuni mengine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani