MSAJILI MKUU AWATAKA MAWAKILI, WATUMISHI KUUISHI MFUMO WA TEHAMA
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- MahakamaWATUMISHI wa Mahakama ya Tanzania na Mawakili wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kupunguza msongamano wa watu mahakamani, kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona na kuokoa gharama za utoaji haki.
Akizungumza leo ofisini kwake, Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe.Wilbert Chuma alisema matumizi ya TEHAMA kwa watumishi na Mawakili yawe ni sehemu ya utendaji kazi wao wa kila siku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gaMM8kI94yk/Xphwk495LDI/AAAAAAALnMQ/SfoIAlLVdwAjxdo3U4JTX512hSk1o1cwACLcBGAsYHQ/s72-c/375af72e-a1e8-4b33-8647-7501dfff4575.jpg)
MSAJILI MKUU WA MAHAKAMA AWATAKA MAWAKILI NA WATUMISHI KUWA MSTARI WA MBELE KUTUMIA MFUMO WA TEHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gaMM8kI94yk/Xphwk495LDI/AAAAAAALnMQ/SfoIAlLVdwAjxdo3U4JTX512hSk1o1cwACLcBGAsYHQ/s640/375af72e-a1e8-4b33-8647-7501dfff4575.jpg)
Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe.Wilbert Chuma akizungumzia kuhusu matumizi ya mfumo wa kusajili mashauri kwa njia mtandao.
***************************
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- Mahakama
Watumishi wa Mahakama ya Tanzania na Mawakili wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kupunguza msongamano wa watu mahakamani, kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona na kuokoa gharama za utoaji haki.
Akizungumza leo ofisini...
5 years ago
CCM BlogMSAJILI MKUU AWATAKA MAWAKILINA WATUMISHI KUJIKITA ZAIDI KWENYE MFUMO WA TEHAMA
///Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- Mahakama
Watumishi wa Mahakama ya Tanzania na Mawakili wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kupunguza msongamano wa watu mahakamani, kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona na kuokoa gharama za utoaji haki.
Akizungumza leo ofisini kwake, Msajili Mkuu wa Mahakama...
5 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU KAILIMA AWATAKA WATUMISHI NIDA KUTUNZA SIRI, KUSHIRIKIANA NA KUWAJIBIKA
5 years ago
MichuziDKT MWANJELWA AWATAKA WATUMISHI HOUSE KUWEKA KIPAUMBELE WATUMISHI WA UMMA KUNUNUA NYUMBA ZA TAASISI HIYO
Amesema licha kutoa kipaumbele Kwa watumishi wa umma lakini pia asilimia nyingine lazima iende Kwa watumishi ambao wapo kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Dkt Mwanjelwa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kutembelea moja ya miradi...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AJITAMBULISHA KWA WATUMISHI – AWATAKA KUFANYA KAZI KWA BIDII
9 years ago
Dewji Blog07 Jan
Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ajitambulisha kwa watumishi, awataka kufanya kazi kwa bidii
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, akiwaaga watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi (hawapo pichani) katika mkutano uliofanyika katika Makao Makuu ya Wizara hiyo. Katikati ni Katibu Mkuu mpya wa Wzara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira na kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Hassan Simba Yahaya.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni...
5 years ago
MichuziRC TABORA AWATAKA TRA KUTUMIA TEHAMA KUJENGA MAZINGIRA RAFIKI NA MLIPA KODI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y8zHW7EXTsY/XvY5AVCQ4DI/AAAAAAALvmM/lcLK2lj7iTEuYaZhzFvUSIYQ487W--NbQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B7.42.04%2BPM.jpeg)
MSAJILI BARAZA LA VETERINARI AWATAKA MADAKTARI WA MIFUGO KUHUISHA MAJINA YAO KWENYE DAFTARI LA USAJILI
Akizungumza na jijini Dodoma leo, Dkt. Masuruli amesema ni muhimu wataalam kuhuisha majina yao ili baraza liweze kufahamu wako wapi, wanafanya nini na wanatoa huduma gani.
"Nasisitiza madaktari wote wa mifugo ambao hawajahuisha taarifa zao kwenye daftari la usajili wa madaktari wafanye hivyo kuanzia leo...
11 years ago
Habarileo28 Jun
Watumishi wa mahakama wanolewa mfumo wa kompyuta
WATUMISHI wa Idara za Mahakama wakiwemo Mahakimu na Makarani wa Wilaya za Bukombe na Kahama juzi wamepata mafunzo kutoka mfumo wa karatasi kwenda katika mfumo kwa Kompyuta (JSBS) kwa lengo la kukuza ufanisi katika maeneo yao ya kazi waliopo.