Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majina ya wafu(Waliokufa) yadaiwa kuwa kwenye usajili

19 Oktoba 2015 Imebadilishwa mwisho Wakazi katika maeneo mengi Zanzibar wamekuwa wakifika vituo vya tume ya uchaguzi kuhakiki taarifa zao kuhakikisha majina na maelezo kuwahusu yamenakiliwa vyema. Baadhi wamedai kuona majina ya watu waliofariki kwenye sajili. […]

The post Majina ya wafu(Waliokufa) yadaiwa kuwa kwenye usajili appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Majina ya wafu yadaiwa kuwa kwenye sajili

Wakazi katika maeneo mengi Zanzibar wamekuwa wakifika vituo vya tume ya uchaguzi kuhakiki taarifa zao kuhakikisha majina na maelezo kuwahusu yamenakiliwa vyema.

 

5 years ago

Michuzi

MSAJILI BARAZA LA VETERINARI AWATAKA MADAKTARI WA MIFUGO KUHUISHA MAJINA YAO KWENYE DAFTARI LA USAJILI

MSAJILI wa Baraza la Veterinari Tanzania, Dkt Bedan Masuruli amewataka Madaktari wa Mifugo nchini kuhuisha majina yao kwenye daftari la usajili wa madaktari wa mifugo kabla ya  Julai 1, 2020.

Akizungumza na jijini Dodoma leo,  Dkt. Masuruli amesema ni muhimu wataalam kuhuisha majina yao ili baraza liweze kufahamu wako wapi, wanafanya nini na wanatoa huduma gani.

"Nasisitiza madaktari wote wa mifugo ambao hawajahuisha taarifa zao kwenye daftari la usajili wa madaktari wafanye hivyo kuanzia leo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanayojiri kwenye misa ya wafu ya Mandela

Haya ni matokeo kama yanavyojiri nchini Afrika Kusini misa ya wafu ya Mandela ikiendelea

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yadaiwa kuwa na ushirika na IS

Urusi imeshutumu Uturuki kwa kuishambulia ndege yake ya kivita ili kulinda biashara yake ya mafuta na Wanamgambo

 

10 years ago

Bongo Movies

MAPYA YAJITOKEZA: Yadaiwa kuwa “Mpenzi” wa LULU aliyefariki alikuwa mume wa mtu.

Habari zinazoendelea kutufikia kwenye meza yetu zinadai kuwa marehemu Seki aliyefariki ghafla hapo jana  ambaye pia anadaiwa kuwa mpenzi wa mwanadada Elizabeth Michael – LULU alikuwa ni mume wa mtu na ameacha mjane na watoto.

Kwa mujibu wa mtoa habari wetu huyu marehemu Lusekelo maarufu kama seki alikuwa ni mfanyabiashara hapa mjini mwenye biashara kadhaa na alikuwa na uwezo mzuri tu wa kifedha.

Habari za uhakika zinasema kuwa Chanzo cha kifo cha Bw Seck kilisababishwa na kumuokoa mtoto...

 

10 years ago

Michuzi

FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.

PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj apotea kwenye mitandao ya kijamii ghafla, yadaiwa uhusiano na Meek Mill umeanza kumharibia

nn

Nicki Minaj amewatia hofu mashabiki wake baada ya kupotea kwenye Instagram na Twitter kwa zaidi ya wiki moja sasa.

nn

Chanzo kilicho karibu na Nicki Minaj kimeuambia mtandao wa Urban Islandz Jumatatu hii kuwa Nicki amepumzika na mitandao ya kijamii ili kurekodi muziki mpya na kutumia muda wake mwenyewe zaidi.

“After constantly being on the road and always working sometimes you need to take some time off to work on your personal life,” kilisema chanzo hicho.

Kiliendelea kuwa Minaj amekuwa kimya...

 

5 years ago

Michuzi

TATIZO KATIKA MFUMO WA USAJILI KUWA HISTORIA

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa amesema kwamba matatizo yote katika Mfumo wa usajili kwa njia ya mtandao (ORS) sasa kuwa historia.

Hayo ameyabainisha wakati akijibu hoja za wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu siku ya jana tarehe 25 Februari, 2020 katika kikao cha mashauriano kati ya serikali na Wafanyabiashara.

Akizungumza katika kikao hicho Bw. Nyaisa amebainisha kwamba, BRELA imechukua hatua za makusudi katika kutatua changamoto katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani