Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majina ya wafu yadaiwa kuwa kwenye sajili

Wakazi katika maeneo mengi Zanzibar wamekuwa wakifika vituo vya tume ya uchaguzi kuhakiki taarifa zao kuhakikisha majina na maelezo kuwahusu yamenakiliwa vyema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Majina ya wafu(Waliokufa) yadaiwa kuwa kwenye usajili

19 Oktoba 2015 Imebadilishwa mwisho Wakazi katika maeneo mengi Zanzibar wamekuwa wakifika vituo vya tume ya uchaguzi kuhakiki taarifa zao kuhakikisha majina na maelezo kuwahusu yamenakiliwa vyema. Baadhi wamedai kuona majina ya watu waliofariki kwenye sajili. […]

The post Majina ya wafu(Waliokufa) yadaiwa kuwa kwenye usajili appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanayojiri kwenye misa ya wafu ya Mandela

Haya ni matokeo kama yanavyojiri nchini Afrika Kusini misa ya wafu ya Mandela ikiendelea

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yadaiwa kuwa na ushirika na IS

Urusi imeshutumu Uturuki kwa kuishambulia ndege yake ya kivita ili kulinda biashara yake ya mafuta na Wanamgambo

 

10 years ago

Bongo Movies

MAPYA YAJITOKEZA: Yadaiwa kuwa “Mpenzi” wa LULU aliyefariki alikuwa mume wa mtu.

Habari zinazoendelea kutufikia kwenye meza yetu zinadai kuwa marehemu Seki aliyefariki ghafla hapo jana  ambaye pia anadaiwa kuwa mpenzi wa mwanadada Elizabeth Michael – LULU alikuwa ni mume wa mtu na ameacha mjane na watoto.

Kwa mujibu wa mtoa habari wetu huyu marehemu Lusekelo maarufu kama seki alikuwa ni mfanyabiashara hapa mjini mwenye biashara kadhaa na alikuwa na uwezo mzuri tu wa kifedha.

Habari za uhakika zinasema kuwa Chanzo cha kifo cha Bw Seck kilisababishwa na kumuokoa mtoto...

 

11 years ago

Michuzi

FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.

PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj apotea kwenye mitandao ya kijamii ghafla, yadaiwa uhusiano na Meek Mill umeanza kumharibia

nn

Nicki Minaj amewatia hofu mashabiki wake baada ya kupotea kwenye Instagram na Twitter kwa zaidi ya wiki moja sasa.

nn

Chanzo kilicho karibu na Nicki Minaj kimeuambia mtandao wa Urban Islandz Jumatatu hii kuwa Nicki amepumzika na mitandao ya kijamii ili kurekodi muziki mpya na kutumia muda wake mwenyewe zaidi.

“After constantly being on the road and always working sometimes you need to take some time off to work on your personal life,” kilisema chanzo hicho.

Kiliendelea kuwa Minaj amekuwa kimya...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaojisajili majina bandia kwenye simu kukiona

SERIKALI imetoa onyo kwa watu wanaosajili namba za simu kwa kutumia majina bandia na kueleza bayana kuwa watachukuliwa hatua za kisheria, ikiwemo kwenda jela miezi sita au kutozwa faini.

 

11 years ago

Michuzi

MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA PILI IDARA YA UHAMIAJI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Wasailiwa 1,281 kati ya 6,115 waliofanya usaili wa kwanza tarehe 13 Juni, 2014 jijini Dar es Salam kuomba nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatarajiwa kuingia duru ya pili na ya mwisho ya usaili huo baada ya kufanikiwa kufaulu usaili wa kwanza. Usaili huu ambao utafanyika kwa awamu utaanza tarehe 23 Juni hadi 03 Julai, 2014 na utafanyikia katika Bwalo la Maafisa Magereza, Ukonga...

 

9 years ago

Mtanzania

Natasha: Majina ya Kiingereza kwenye filamu yana mvuto

NatashaMWIGIZAJI wa siku nyingi nchini, Susan Humba ‘Natasha’, amesema wazalishaji wa filamu wengi wa Tanzania walikuwa wakitumia majina ya Kiingereza kwenye filamu zao kwa madai kwamba huvutia yanapotamkwa tofauti na ya Kiswahili.

“Wazalishaji wa filamu hizo walikuwa wakidai kwamba majina hayo huvutia kutamkwa mfano ‘My love’, inavuta na inatamkika vema kuliko ‘Mpenzi wangu’.

Hata hivyo, alieleza kwamba miaka ya sasa wengi wamebadilisha hulka hiyo na kutumia majina ya Kiswahili yenye maana husika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani