Wanaojisajili majina bandia kwenye simu kukiona
SERIKALI imetoa onyo kwa watu wanaosajili namba za simu kwa kutumia majina bandia na kueleza bayana kuwa watachukuliwa hatua za kisheria, ikiwemo kwenda jela miezi sita au kutozwa faini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Kifungo kwa watakaosajili simu kwa majina bandia
MBUNGE wa Arusha Mjini Godbless Lema (CHADEMA) ameitaka serikali kueleza ni kwa nini utaratibu wa kusajili laini za simu unafanywa kiholela bila kujali sheria iliyopo. Aliuliza wali hilo jana bungeni...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Wanafunzi walalamika kutumia majina bandia
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Nyugwa, Wilaya ya Nyangh’wale, mkoani Geita, wameiomba serikali ya mkoa kumchukulia hatua Ofisa Elimu ya Sekondari wa wilaya hiyo na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo,...
10 years ago
Habarileo23 Oct
Wanaotumia vibaya simu kukiona
SERIKALI imeahidi kuja na sheria itakayozuia matumizi mabaya ya mitandao ya simu yanayohusisha usambazaji wa picha za ngono, wizi na taarifa zingine zinazochangia kubomoa maadili ya Mtanzania.
10 years ago
Habarileo15 Sep
FCC yakamata simu bandia za mil. 72/-
TUME ya Ushindani (FCC) imekamata simu bandia zenye thamani ya Sh milioni 72.2 katika maduka ya Kariakoo.
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Kampuni ya simu bandia za iphone yavamiwa
10 years ago
Habarileo25 Jan
Watanzania wahimizwa kuondokana na simu bandia
WAKATI matumizi ya teknolojia yakielezwa kuongezeka katika nchi za Afrika hasa ya simu, Watanzania wameshauriwa kutumia simu zenye viwango vya kimataifa ili kuepukana na athari za matumizi ya simu bandia.
11 years ago
Mwananchi22 May
Unafuu usitupeleke kwenye bidhaa bandia
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EXlYuaK1RfM/VnqXWRt01zI/AAAAAAAIONU/0dKjOia7TnI/s72-c/IMG_9217.jpg)
MADEREVA WATAKAOZIDISHA ABIRIA KWENYE VYOMBO VYA USAFIRI KUKIONA
![](http://3.bp.blogspot.com/-EXlYuaK1RfM/VnqXWRt01zI/AAAAAAAIONU/0dKjOia7TnI/s640/IMG_9217.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qvzJbJXwQ5Y/VnqXWggP7NI/AAAAAAAIONQ/Nza3-bRKfI0/s640/IMG_9237.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiJESHI la Polisi Nchini limewatahadharisha madereva watakaozidisha...
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Majina ya wafu yadaiwa kuwa kwenye sajili