Kifungo kwa watakaosajili simu kwa majina bandia
MBUNGE wa Arusha Mjini Godbless Lema (CHADEMA) ameitaka serikali kueleza ni kwa nini utaratibu wa kusajili laini za simu unafanywa kiholela bila kujali sheria iliyopo. Aliuliza wali hilo jana bungeni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Dec
Wanaojisajili majina bandia kwenye simu kukiona
SERIKALI imetoa onyo kwa watu wanaosajili namba za simu kwa kutumia majina bandia na kueleza bayana kuwa watachukuliwa hatua za kisheria, ikiwemo kwenda jela miezi sita au kutozwa faini.
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Wanafunzi walalamika kutumia majina bandia
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Nyugwa, Wilaya ya Nyangh’wale, mkoani Geita, wameiomba serikali ya mkoa kumchukulia hatua Ofisa Elimu ya Sekondari wa wilaya hiyo na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo,...
10 years ago
Bongo506 May
Muigizaji wa Bollywood Salman Khan ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela, kwa kumgonga na kumuua mtu kwa gari
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Kifungo kwa mawaziri wa zamani Tanzania
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Kampuni ya simu bandia za iphone yavamiwa
11 years ago
Habarileo15 Sep
FCC yakamata simu bandia za mil. 72/-
TUME ya Ushindani (FCC) imekamata simu bandia zenye thamani ya Sh milioni 72.2 katika maduka ya Kariakoo.
10 years ago
Habarileo25 Jan
Watanzania wahimizwa kuondokana na simu bandia
WAKATI matumizi ya teknolojia yakielezwa kuongezeka katika nchi za Afrika hasa ya simu, Watanzania wameshauriwa kutumia simu zenye viwango vya kimataifa ili kuepukana na athari za matumizi ya simu bandia.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
SAID MBELWA: Bondia anayetumikia kifungo kwa kinyongo
SAID Mbelwa si jina geni masikioni hata machoni mwa wapenzi na mashabiki wa masumbwi nchini. Hii inatokana na kuwa miongoni mwa mabondia mahiri kwa sasa ambao uwezo wao, umekuwa ndio...
5 years ago
MichuziMAFUNDI SIMU KIZIMBANI KWA KUJIHUSISHA NA SIMU ZILIZOFUNGWA
Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka yao leo Machi 11, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustina Mmbando.
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa Serikali Easter Martin amedai Februari 27, mwaka huu...