Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kifungo kwa watakaosajili simu kwa majina bandia

MBUNGE wa Arusha Mjini Godbless Lema (CHADEMA) ameitaka serikali kueleza ni kwa nini utaratibu wa kusajili laini za simu unafanywa kiholela bila kujali sheria iliyopo. Aliuliza wali hilo jana bungeni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanaojisajili majina bandia kwenye simu kukiona

SERIKALI imetoa onyo kwa watu wanaosajili namba za simu kwa kutumia majina bandia na kueleza bayana kuwa watachukuliwa hatua za kisheria, ikiwemo kwenda jela miezi sita au kutozwa faini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi walalamika kutumia majina bandia

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Nyugwa, Wilaya ya Nyangh’wale, mkoani Geita, wameiomba serikali ya mkoa kumchukulia hatua Ofisa Elimu ya Sekondari wa wilaya hiyo na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo,...

 

10 years ago

Bongo5

Muigizaji wa Bollywood Salman Khan ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela, kwa kumgonga na kumuua mtu kwa gari

Mahakama ya nchini India imemhukumu muigizaji wa Bollywood, Salman Khan kifungo cha miaka mitano jela kwa kumgonga na kumuua mtu asiye na makazi mwaka 2002 mjini Mumbai. Mtu huyo alikuwa mmoja wa watu wengine watano waliogongwa kwenye tukio hilo. Muigizaji huyo alikuwa akikabiliwa na kosa la kuua bila kukusudia. Khan alikuwa akijitetea kuwa ni dereva […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Kifungo kwa mawaziri wa zamani Tanzania

Basil Mramba na Daniel Yona wameukamilisha usiku wa kwanza gerezani baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni ya simu bandia za iphone yavamiwa

Kampuni iliyodaiwa kutengeneza simu bandia 41,000 aina ya Iphones kutoka kampuni ya Apple imevamiwa huko Uchina na watu 9 kukamatwa.

 

11 years ago

Habarileo

FCC yakamata simu bandia za mil. 72/-

TUME ya Ushindani (FCC) imekamata simu bandia zenye thamani ya Sh milioni 72.2 katika maduka ya Kariakoo.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania wahimizwa kuondokana na simu bandia

WAKATI matumizi ya teknolojia yakielezwa kuongezeka katika nchi za Afrika hasa ya simu, Watanzania wameshauriwa kutumia simu zenye viwango vya kimataifa ili kuepukana na athari za matumizi ya simu bandia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAID MBELWA: Bondia anayetumikia kifungo kwa kinyongo

SAID Mbelwa si jina geni masikioni hata machoni mwa wapenzi na mashabiki wa masumbwi nchini. Hii inatokana na kuwa miongoni mwa mabondia mahiri kwa sasa ambao uwezo wao, umekuwa ndio...

 

5 years ago

Michuzi

MAFUNDI SIMU KIZIMBANI KWA KUJIHUSISHA NA SIMU ZILIZOFUNGWA

Na Karama Kenyunko, globu ya jamiiFUNDI Simu, Said Msangi (30) na mfanyabiashara Abdul Nassoro( 36), wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na makosa matatu likiwemo la  kujihusisha na simu zilizofungwa huku wakijua ni kinyume cha sheria.
Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka yao leo Machi 11, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustina Mmbando.
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa Serikali Easter Martin amedai Februari 27, mwaka huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani