Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi walalamika kutumia majina bandia

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Nyugwa, Wilaya ya Nyangh’wale, mkoani Geita, wameiomba serikali ya mkoa kumchukulia hatua Ofisa Elimu ya Sekondari wa wilaya hiyo na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanaojisajili majina bandia kwenye simu kukiona

SERIKALI imetoa onyo kwa watu wanaosajili namba za simu kwa kutumia majina bandia na kueleza bayana kuwa watachukuliwa hatua za kisheria, ikiwemo kwenda jela miezi sita au kutozwa faini.

 

10 years ago

Habarileo

Walimu walalamika wanafunzi kukosa maadili

WALIMU wamelalamikia kuwepo kwa maporomoko makubwa ya maadili miongoni mwa wanafunzi na kwamba sheria iliyopo haikidhi kusimamia nidhamu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Geita waonywa kutumia bidhaa bandia

WANANCHI wilayani Geita, wametakiwa kuachana na wafanyabishara wanaouza bidhaa bandia kwa kujipatia kipato na kuwaacha watumiaji wakiwa wanahangaika huku wao wakipata faida kubwa kutokana na biashara hiyo. Kauli hiyo ilitolewa...

 

9 years ago

Mwananchi

Tiba ya kisukari kwa kutumia kongosho Bandia mbioni kutumika

Kwa kawaida wataalamu wa afya wanaugawa ugonjwa wa kisukari katika aina kuu mbili; kisukari cha aina ya kwanza ambacho kinatambulishwa kama ni cha utotoni na kisukari cha aina ya pili, kinachobainishwa kuwa ni cha ukubwani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kifungo kwa watakaosajili simu kwa majina bandia

MBUNGE wa Arusha Mjini Godbless Lema (CHADEMA) ameitaka serikali kueleza ni kwa nini utaratibu wa kusajili laini za simu unafanywa kiholela bila kujali sheria iliyopo. Aliuliza wali hilo jana bungeni...

 

9 years ago

Mwananchi

Kortini kwa kutumia majina ya CCM, Chadema

Watu watatu wamefikishwa Mahakama ya Mkoa wa Mwanza wakikabiliwa na mashtaka ya wizi wa kimtandao na kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu.

 

9 years ago

Mwananchi

Mahakamani kwa kughushi tovuti feki kutumia majina ya Taasisi na wanasiasa

Watu wawili, Patrick Natala na Maxmillian Msacky  wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 10  yakiwamo ya kughushi, kutengeneza tovuti feki na mifumo ya mtandao  kwa kutumia majina ya  Taasisi, viongozi na wanasiasa.

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YATOA SOMO KWA WANAFUNZI KUTUMIA VYEMA MAENDELEO YA TEKNOLOJIA

Wanafunzi wa shule za sekondari kote nchini wameaswa kutumia vizuri maendeleo ya teknolojia yanayotokea kwa sasa ili kuongeza kiwango cha ufaulu nchini. Madai hayo yalitolewa na Meneja Biashara wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kanda ya ziwa Raphael Daudi wakati akikabidhi kompyuta kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kalangalala iliyopo mkoani Geita.

Meneja huyo alisema kumekuwa na wimbi la wanafunzi ambao hutumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani