Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu walalamika wanafunzi kukosa maadili

WALIMU wamelalamikia kuwepo kwa maporomoko makubwa ya maadili miongoni mwa wanafunzi na kwamba sheria iliyopo haikidhi kusimamia nidhamu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Rahaleo walalamika

 WALIMU wa shule ya msingi ya Viziwi Rahaleo, iliyopo Manispaa ya Mtwara/Mikindani, wanalalamikia mazingira magumu ya kazi kutokana na kutumia chumba kimoja cha darasa kama ofisi na wanafunzi tangu kuanzishwa kwake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi walalamika kutumia majina bandia

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Nyugwa, Wilaya ya Nyangh’wale, mkoani Geita, wameiomba serikali ya mkoa kumchukulia hatua Ofisa Elimu ya Sekondari wa wilaya hiyo na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Mbilinyi: Viongozi ‘vijana’ kukosa maadili ni matokeo ya UPE

Katika makala yafuatayo Profesa Saimon Mbilinyi ambaye ni msomi, mwanasiasa na mchumi aliyebobea, pamoja na mambo mengine anaeleza mambo mbalimbali kuhusu yeye, siasa, uchumi na uongozi kama alivyohojiwa hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Walimu 245,000 kukosa mshahara Kenya

Zaidi ya walimu 245,000 hawatapata mishahara yao mwezi huu,kufuatia mgomo wa nyongeza ya mishahara unaondelea kwa wiki ya sita sasa kulingana na gazeti la nation nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Shule yafungwa kwa kukosa wanafunzi

Shule ya Msingi ya Namfua iliyopo wilayani hapa Mkoa wa Kilimanjaro imefungwa kwa kukosa wanafunzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi Ileje kukosa masomo kwa siku 21

Wanafunzi wa Kidato cha Tano na Sita katika Shule ya Sekondari Ileje, iliyopo Wilaya ya Ileje Mkoa wa Mbeya, wamelazimika kupewa likizo ya lazima kwa muda wa siku 21, baada ya kuonekana kuhatarisha usalama na uvunjifu wa amani shuleni hapo kufuatia fujo zilizosababishwa na baadhi ya wanafunzi hao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkanyagano shule ya Kakamega: Wanafunzi 6 walifariki baada ya kukosa hewa

Matokeo ya upasuaji yanaonesha kwamba wanafunzi sita kati ya 14 waliofariki katika mkanyagano siku ya Jumatatu jioni Magharibi mwa Kenya walifariki baada ya kukosa hewa.

 

9 years ago

Dewji Blog

HESLB yajivua lawama wanafunzi vyuo vikuu kukosa mikopo 2015/2016

New Picture (4)

Na Mwandishi wetu

Zaidi ya wanafundi 50,000 watashindwa kuendelea na masomo ya elimu ya juu kutokana na kushindwa kupata mikopo kutoka katika Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB).

Hayo yamebainika ikiwa ni siku nne tangu HESLB kutoa majina ya wanafunzi waliofanikiwa kupata mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016, huku idadi kubwa ikiwa haimo katika majina hayo.

Katika mwaka huu wa masomo bodi ya mikopo imeweza kuwapatia mikopo wanafunzi 12,000 pekee sawa na 17.1% ya waombaji zaidi ya 70,000,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

MATUMIZI ya simu kwa wanafunzi shuleni ambayo yamekuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwao, yanaweza kudhibitiwa endapo wamiliki wa shule, walimu na wazazi watasimamia sheria zitakazosaidia kuwabana wanafunzi kumiliki simu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani