Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu 245,000 kukosa mshahara Kenya

Zaidi ya walimu 245,000 hawatapata mishahara yao mwezi huu,kufuatia mgomo wa nyongeza ya mishahara unaondelea kwa wiki ya sita sasa kulingana na gazeti la nation nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

KwanzaJamii

Walimu wapinga kukatwa mshahara

Katibu Mkuu wa CWT, Ezekiah Oluoch Wakati Ikulu ikikana Rais Jakaya Kikwete kuagiza watumishi wa serikali kuchangishwa fedha, Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimepinga walimu kukatwa mishahara kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa maabara za shule za sekondari. Katika tamko lake, CWT imewaonya wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kujiandaa kukabiliana na mkono wa sheria wasipositisha zoezi la kuwakata walimu mishahara yao kwa ajili hiyo na kuwataka kurejesha mara moja fedha zote...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Songea walilia mshahara

WALIMU wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, wameulalamikia uongozi wa manispaa hiyo kwa kushindwa kuwalipa mishahara ya Februari mwaka huu kwa madai kuwa orodha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mshahara kima cha chini 720,000/-

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limependekeza mshahara wa kima cha chini uwe sh  720,000. TUCTA imekuja na pendekezo hilo huku kukiwa na taarifa kwamba serikali imepandisha kiinua mgongo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge aambulia mshahara 50,000/- kwa mwezi

WAKATI baadhi ya watu wakiamini wabunge hulipwa zaidi ya sh milioni 10 kwa mwezi, mmoja wa wabunge wa Bunge la Muungano, amejikuta akitoka na mshahara wa sh 50,000 kwa mwezi,...

 

10 years ago

Habarileo

Walimu walalamika wanafunzi kukosa maadili

WALIMU wamelalamikia kuwepo kwa maporomoko makubwa ya maadili miongoni mwa wanafunzi na kwamba sheria iliyopo haikidhi kusimamia nidhamu.

 

9 years ago

Mwananchi

200,000 kukosa pa kuishi Dar sababu ya bomoabomoa

Operesheni ya bomoabomoa inayoendelea kwa waliojenga nyumba mabondeni jijini Dar es Salaam itawaacha zaidi ya watu 200,000 wakiwa hawana makazi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yashinda dhahabu mita 3,000 na 10,000

Mwanariadha wa Kenya Ezekiel Kemboi ameshinda medali ya nne mfululizo katika mashindano ya dunia mjini Bejjing baada ya kuwaongoza Wakenya wenzake kushinda nafasi za kwanza nne bora.

 

10 years ago

GPL

BILIONEA NIGERIA AMZAWADIA TAYO $ 350,000 BAADA YA KUKOSA ZA BIG BROTHER HOTSHOTS

Tayo. INADAIWA kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Hotshots, Tayo kuzikosa $ 300,000 za shindano hilo ambazo zilichukuliwa na mshiriki kutoka Tanzania Idris Sultan, mfanyabiashara bilionea na Nigeria ameamua kumzawadia Tayo $ 350,000 zaidi ya shilingi milioni 600. Bilionea Ayiri Emami. Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua kuongeza dola 50,000 juu zaidi ya ile… ...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani