Mshahara kima cha chini 720,000/-
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limependekeza mshahara wa kima cha chini uwe sh 720,000. TUCTA imekuja na pendekezo hilo huku kukiwa na taarifa kwamba serikali imepandisha kiinua mgongo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Kima cha chini kiongezwe
LEO ni Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani, ambapo wafanyakazi wa Tanzania wanaungana na wenzao ulimwenguni kote kusherehekea siku hii. Kwa namna ya pekee kabisa, Mkurugenzi Mtendaji na uongozi wote wa Kampuni...
10 years ago
Habarileo02 May
Kima cha chini mishahara chapanda
RAIS Jakaya Kikwete ameahidi kuongeza mishahara ya wafanyakazi kuanzia Julai mwaka huu, ili walau kima cha chini kikaribie Sh 315,000 ambazo Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) limekuwa likiipigia kelele kwa muda mrefu.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/jovago-1.jpg)
JOVAGO KUWAFIKIA WATU WA KIMA CHA CHINI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DKhnXXoplRI/U1Ed3WbBZ-I/AAAAAAAFbsE/FFyW0klRq7Y/s72-c/download+(1).jpg)
ANGALIZO TOKA TFF - KIINGILIO CHA CHINI YANGA vs SIMBA NI 7,000/-
![](http://2.bp.blogspot.com/-DKhnXXoplRI/U1Ed3WbBZ-I/AAAAAAAFbsE/FFyW0klRq7Y/s1600/download+(1).jpg)
Taarifa yetu tuliyotuma hivi punde ilionesha kiingilio cha chini mechi ya Yanga na Simba ni sh. 5,000.
Usahihi ni kuwa kiingilio hicho ni sh. 7,000 kama kinavyooneshwa kwenye tiketi.
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Walimu 245,000 kukosa mshahara Kenya
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Mbunge aambulia mshahara 50,000/-Â kwa mwezi
WAKATI baadhi ya watu wakiamini wabunge hulipwa zaidi ya sh milioni 10 kwa mwezi, mmoja wa wabunge wa Bunge la Muungano, amejikuta akitoka na mshahara wa sh 50,000 kwa mwezi,...
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Kiwango cha mshahara watumishi wa umma chapanda
WASTANI wa malipo ya mshahara kwa watumishi wa umma umeongezeka kutoka wastani wa mshahara wa sh. 74,183 mwaka 2001 hadi 562,119 mwaka 2014. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri...
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
Zaidi ya wananchi 3,000 Wilaya ya Ikungi Singida kunufaika na soko la asali chini ya mradi wa FU-DI kwa ufadhili wa UNDP
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk Parseko Kone akizungumza na wanavikundi 49 vya ufugaji wa Nyuki katika Wilaya ya Ikungi wakati wa uzinduzi wa mradi wa FU-DI na ugawaji wa mizinga ya Nyuki pamoja na vifaa.
Na Hillary Shoo, IKUNGI.
ZAIDI ya wananchi 3,000 watanufaika na soko la asali kupitia taasisi ya Kijamii ya fursa za kimaendeleo ‘Future Development Initiatives’ (Fu-DI) Mkoani Singida, kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP).
Wakizungumza wakati wa hafla fupi ya...