Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshahara kima cha chini 720,000/-

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limependekeza mshahara wa kima cha chini uwe sh  720,000. TUCTA imekuja na pendekezo hilo huku kukiwa na taarifa kwamba serikali imepandisha kiinua mgongo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kima cha chini kiongezwe

LEO ni Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani, ambapo wafanyakazi wa Tanzania wanaungana na wenzao ulimwenguni kote kusherehekea siku hii. Kwa namna ya pekee kabisa, Mkurugenzi Mtendaji na uongozi wote wa Kampuni...

 

10 years ago

Habarileo

Kima cha chini mishahara chapanda

Rais Jakaya Kikwete, viongozi wa serikali, vyama vya wafanyakazi na siasa wakiimba wimbo wa mshikamano wakati wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika kitaifa jijini Mwanza jana. (Picha na Ikulu).RAIS Jakaya Kikwete ameahidi kuongeza mishahara ya wafanyakazi kuanzia Julai mwaka huu, ili walau kima cha chini kikaribie Sh 315,000 ambazo Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) limekuwa likiipigia kelele kwa muda mrefu.

 

9 years ago

GPL

JOVAGO KUWAFIKIA WATU WA KIMA CHA CHINI

Mkurugenzi Mkuu wa Jovago, Paul Midy akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Kulia ni Meneja wa Jovago Tanzania, Andrea Guzzoni. Mkurugenzi Mkuu wa Jovago, Paul Midy akielezea faida za Jovago kwa wanahabari. Kulia aliyesimama ni Meneja wa Jovago Tanzania, Andrea Guzzoni. Paul Midy akifafanua jambo kwa mwanahabari wa BBC. Kulia ni Andrea Guzzoni na kushoto ni Meneja… ...

 

11 years ago

Michuzi

ANGALIZO TOKA TFF - KIINGILIO CHA CHINI YANGA vs SIMBA NI 7,000/-


Taarifa yetu tuliyotuma hivi punde ilionesha kiingilio cha chini mechi ya Yanga na Simba ni sh. 5,000.
 Usahihi ni kuwa kiingilio hicho ni sh. 7,000 kama kinavyooneshwa kwenye tiketi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Walimu 245,000 kukosa mshahara Kenya

Zaidi ya walimu 245,000 hawatapata mishahara yao mwezi huu,kufuatia mgomo wa nyongeza ya mishahara unaondelea kwa wiki ya sita sasa kulingana na gazeti la nation nchini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge aambulia mshahara 50,000/- kwa mwezi

WAKATI baadhi ya watu wakiamini wabunge hulipwa zaidi ya sh milioni 10 kwa mwezi, mmoja wa wabunge wa Bunge la Muungano, amejikuta akitoka na mshahara wa sh 50,000 kwa mwezi,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kiwango cha mshahara watumishi wa umma chapanda

WASTANI wa malipo ya mshahara kwa watumishi wa umma umeongezeka kutoka wastani wa mshahara wa sh. 74,183 mwaka 2001 hadi 562,119 mwaka 2014. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya wananchi 3,000 Wilaya ya Ikungi Singida kunufaika na soko la asali chini ya mradi wa FU-DI kwa ufadhili wa UNDP

RC

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk Parseko Kone akizungumza na wanavikundi 49 vya ufugaji wa Nyuki katika Wilaya ya Ikungi wakati wa uzinduzi wa mradi wa FU-DI na ugawaji wa mizinga ya Nyuki pamoja na vifaa.

Na Hillary Shoo, IKUNGI.

ZAIDI ya wananchi 3,000 watanufaika na soko la asali kupitia taasisi ya Kijamii  ya fursa za kimaendeleo ‘Future Development Initiatives’ (Fu-DI) Mkoani Singida, kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP).

Wakizungumza wakati wa hafla fupi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani