Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya wananchi 3,000 Wilaya ya Ikungi Singida kunufaika na soko la asali chini ya mradi wa FU-DI kwa ufadhili wa UNDP

RC

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk Parseko Kone akizungumza na wanavikundi 49 vya ufugaji wa Nyuki katika Wilaya ya Ikungi wakati wa uzinduzi wa mradi wa FU-DI na ugawaji wa mizinga ya Nyuki pamoja na vifaa.

Na Hillary Shoo, IKUNGI.

ZAIDI ya wananchi 3,000 watanufaika na soko la asali kupitia taasisi ya Kijamii  ya fursa za kimaendeleo ‘Future Development Initiatives’ (Fu-DI) Mkoani Singida, kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP).

Wakizungumza wakati wa hafla fupi ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

UNDP kupitia mradi wa DEP yakabidhi vifaa vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 200 kwa ofisi ya msajili wa vyama

mutungi

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.

Na Mwandishi wetu

SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imepokea msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Teknohama), vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 200.

Vifaa hivyo ambavyo ni kompyuta za mezani, ‘Scanner’, ‘printer’, mashine ya kutolea nakala (photocopy), simu za mkononi, kompyuta mpakato pamoja na meza, ambavyo vimetolewa na Shirika la Kimataifa la Mradi wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP),...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano wilaya ya Ikungi, Singida

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua mnara wa mawasiliano katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida ambao utasaidia upatikanaji wa mawasiliano na pia kuboresha ubora wa mtandao kwa wakazi wa wilayani hapo na maeneo ya jirani.
Meneja wa kanda ya kati wa Airtel, Bwana Stephen Akyoo, alisema Mnara huo mpya wa mawasilino ni moja kati ya mikakati ya kampuni yake kujitanua zaidi na kuboresha mtandao wa mawasiliano, huku wakiendelea kuangalia namna ya kuendelea kufanya huduma zao kuwa za...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO WILAYA YA IKUNGI SINGIDA‏

Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa mnara wa airtel Omar Hassan Mgisa Diwani wa kata ya Mwaru akikata utepe wakati wa uzinduzi wamnara wa airtel katika kijiji cha mwaru wilayani ikungi mkoani Singida jana wakati wa uzinduzi wa mnara huo. Katikati ni Meneja wa kampuni ya Airtel kanda ya kati bwana Martin Kilasara, akitoa maelezo kwa mgeni rasmi Omary Hassan Mgisa Diwani wa kata ya Mwaru tarafa ya sepuka Wilayani Ikungi Singida Wakati...

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA 20,000 NCHINI KUNUFAIKA NA SOKO LA MATUNDA, WATAKIWA KUTOKATA TAMAA


VIJANA nchini wametakiwa kutokata tamaa ya maisha badala yake wawe wepesi wa kuchangamkia fursa pindi zinapojitokeza na siyo kukaa mitaani na kulalamikia ugumu wa maisha.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana na Ajira, Mhe Anthony Mavunde wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wakulima wilayani Butiama, Mara.

Mhe Mavunde amesema zaidi ya vijana 20,000 watanufaika na soko la  mazao ya matunda nchini kote  katika viwanda vilivyopo hapa nchini ikiwemo cha ...

 

9 years ago

GPL

WANAFUNZI SEKONDARI YA MAKUMBUSHO WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA SMART SCHOOL CHINI YA VODACOM FOUNDATION‏

Mwalimu wa somo la Kompyuta mpakato wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho jijini Dar es Salaam, Josiah Kimaro akimfundisha somo la Kompyuta Ibrahim Athmani ambaye ni wanafunzi wa kidato cha Nne wa shule hiyo,Walipotembelewa na maofisa wa Taasisi ya Vodacom Foundation kujionea maendeleo ya mradi wa Smart school unaofadhiliwa na taasisi hiyo na kunaendeshwa na Learning In Sync kwa ajili ya wanafunzi wa shule za sekondari kupata...

 

9 years ago

Dewji Blog

UNDP yakabidhi mradi wa dola za marekani 150,000 wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kijiji cha Chamwino

IMG_9773

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo akikata utepe kuzindua Kisima cha maji safi na salama katika kijiji cha Machali A wilayani Chamwino mkoa wa Dodoma mwishoni mwa juma lililopita.

Na Modewjiblog team, Chamwino

KIJIJI cha Manchali kilichopo wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, kimekabidhiwa mradi wa dola za Marekani 150,000 wenye lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Mradi huo ulikabidhiwa kijiji hicho na Mratibu wa mashirika ya Umoja wa...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI SIMANJIRO KUNUFAIKA NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA

MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mhandisi Zephania Chaula amezindua hospitali ya Wilaya hiyo hivyo waliokuwa wakisafiri umbali wa zaidi ya kilomita 180 hadi 200 kufuata huduma hiyo jijini Arusha au Mkoani Kilimanjaro wataondokana na adha hiyo. 
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa. 
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...

 

9 years ago

Michuzi

IDARA YA MIPANGO MIJI NA VIJIJI ZANZIBAR YAANDAA MRADI WA KUBORESHA MAENEO MATANO YA WAZI YA MJI WA ZANZIBAR CHINI YA UFADHILI WA SHIRIKA LA SDC LA SWITZERLAND.

 Mkuu wa Ushirikiano wa  Ubalozi wa Switzerland nchini Tanzaania Romana Tedeschi akizungumza na wananchi (hawapo pichani) walioshiriki uzinduzi wa Mradi wa kuboresha maeneo matano ya wazi ya Mji wa Zanzibar kwa kuanzia na  Kiwanja cha Demokrasia Kibandamaiti utakaofadhiliwa na Shirika la SDC la nchi hiyo. Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis akizindua  Mradi wa kuboresha maeneo ya wazi ya Mjini  Zanzibar katika hafla iliyofanyika Idara ya Ardhi na Upimaji Forodhani Mjini...

 

9 years ago

Michuzi

WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI

Baadhi ya wakuliwa wa mkoani Shinyanga, wakiwa na maofisa wa Agrics wakati wa mafunzo na uingiaji mkataba wa makubaliano yliofanyika Kijiji cha Ishololo, Wilaya ya Shinyanga Vijijini. Warsha hiyo iliongozwa na Lazaro Japhet (aliyesimama wa tatu kushoto mstari wa mbele. Zaidi ya wakulima 12,000 wanataraji kufaidika na mbegu za mahindi na alizeti kutoka Kampuni ya Agrics. Mahindi yaliyooteshwa kisayansi na kampuni ya Agrics kwa lengo la kuthibitisha ubora wa mbegu zinazotolewa kwa wakulima wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani