Zaidi ya wananchi 3,000 Wilaya ya Ikungi Singida kunufaika na soko la asali chini ya mradi wa FU-DI kwa ufadhili wa UNDP
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk Parseko Kone akizungumza na wanavikundi 49 vya ufugaji wa Nyuki katika Wilaya ya Ikungi wakati wa uzinduzi wa mradi wa FU-DI na ugawaji wa mizinga ya Nyuki pamoja na vifaa.
Na Hillary Shoo, IKUNGI.
ZAIDI ya wananchi 3,000 watanufaika na soko la asali kupitia taasisi ya Kijamii ya fursa za kimaendeleo ‘Future Development Initiatives’ (Fu-DI) Mkoani Singida, kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP).
Wakizungumza wakati wa hafla fupi ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
UNDP kupitia mradi wa DEP yakabidhi vifaa vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 200 kwa ofisi ya msajili wa vyama
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.
Na Mwandishi wetu
SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imepokea msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Teknohama), vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 200.
Vifaa hivyo ambavyo ni kompyuta za mezani, ‘Scanner’, ‘printer’, mashine ya kutolea nakala (photocopy), simu za mkononi, kompyuta mpakato pamoja na meza, ambavyo vimetolewa na Shirika la Kimataifa la Mradi wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP),...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WQ-yr0Yl_Bs/VZo8qBI9vWI/AAAAAAAHnOM/nsR-bJtOyRA/s72-c/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano wilaya ya Ikungi, Singida
Meneja wa kanda ya kati wa Airtel, Bwana Stephen Akyoo, alisema Mnara huo mpya wa mawasilino ni moja kati ya mikakati ya kampuni yake kujitanua zaidi na kuboresha mtandao wa mawasiliano, huku wakiendelea kuangalia namna ya kuendelea kufanya huduma zao kuwa za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXJycfOz9oajWFhKr5BkD9mCsgVu5--AT-hl92hJ2V2waUudzIvFJvlaSS6ZfRaCR1JVqrU92hg0QAwyobCmWbDx/picture2JPG.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO WILAYA YA IKUNGI SINGIDA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GHupgixgvEc/Xmh2vCCAt4I/AAAAAAALiic/XF1JrgMT6dwAh13Z1QSAdLCPL48Yp0-wgCLcBGAsYHQ/s72-c/9e626390-7d6f-4248-ace8-a4f4ef680bd0.jpg)
VIJANA 20,000 NCHINI KUNUFAIKA NA SOKO LA MATUNDA, WATAKIWA KUTOKATA TAMAA
VIJANA nchini wametakiwa kutokata tamaa ya maisha badala yake wawe wepesi wa kuchangamkia fursa pindi zinapojitokeza na siyo kukaa mitaani na kulalamikia ugumu wa maisha.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana na Ajira, Mhe Anthony Mavunde wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wakulima wilayani Butiama, Mara.
Mhe Mavunde amesema zaidi ya vijana 20,000 watanufaika na soko la mazao ya matunda nchini kote katika viwanda vilivyopo hapa nchini ikiwemo cha ...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Cohv0VJ9k9o0w4dq-OsI2ZbRPj17wHF1wWGAO46GrReJcQpfcUyRN6FbnyDq-6gQFvech93CXFfYyZrBwUCJnNBQ/001.MAKUMBOSHO.jpg?width=650)
WANAFUNZI SEKONDARI YA MAKUMBUSHO WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA SMART SCHOOL CHINI YA VODACOM FOUNDATION
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
UNDP yakabidhi mradi wa dola za marekani 150,000 wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kijiji cha Chamwino
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo akikata utepe kuzindua Kisima cha maji safi na salama katika kijiji cha Machali A wilayani Chamwino mkoa wa Dodoma mwishoni mwa juma lililopita.
Na Modewjiblog team, Chamwino
KIJIJI cha Manchali kilichopo wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, kimekabidhiwa mradi wa dola za Marekani 150,000 wenye lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.
Mradi huo ulikabidhiwa kijiji hicho na Mratibu wa mashirika ya Umoja wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WXsMGaxiHVM/XuUNFsYnILI/AAAAAAALts8/1hTk8tFdfbQpG_goTxCSv7z7nOHoOCAVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0024.jpg)
WANANCHI SIMANJIRO KUNUFAIKA NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa.
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...
9 years ago
MichuziIDARA YA MIPANGO MIJI NA VIJIJI ZANZIBAR YAANDAA MRADI WA KUBORESHA MAENEO MATANO YA WAZI YA MJI WA ZANZIBAR CHINI YA UFADHILI WA SHIRIKA LA SDC LA SWITZERLAND.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s72-c/unnamed1.png)
WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s640/unnamed1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GQIHnvEBqLo/VfEt6qqo16I/AAAAAAAAg8U/uUfNajb-U_c/s640/unnamed.png)