Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shule yafungwa kwa kukosa wanafunzi

Shule ya Msingi ya Namfua iliyopo wilayani hapa Mkoa wa Kilimanjaro imefungwa kwa kukosa wanafunzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Shule yafungwa kwa kukosa choo

SHULE ya Msingi Bugarama ambayo ipo katika eneo linalozunguka Mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold Mines Ltd imefungwa baada ya kukosa vyoo. Mkaguzi Mkuu...

 

10 years ago

Mwananchi

Shule Mara yafungwa kwa kukosa choo

Mkaguzi Mkuu wa Shule za Msingi wilayani Tarime Josephu Mowinga ameifungia Shule ya msingi Kegonga iliyopo kata ya Kegonga baada ya kubainika haina choo kwa muda mrefu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkanyagano shule ya Kakamega: Wanafunzi 6 walifariki baada ya kukosa hewa

Matokeo ya upasuaji yanaonesha kwamba wanafunzi sita kati ya 14 waliofariki katika mkanyagano siku ya Jumatatu jioni Magharibi mwa Kenya walifariki baada ya kukosa hewa.

 

9 years ago

Dewji Blog

WANAFUNZI WENYE ALBINISM: Wakatisha masomo baada ya shule yao kukosa chakula Mkoani Singida!

ZIADAKatibu Mkuu wa chama cha Albino Tanzania (TAS) Ziada Nsembo akizungumza kwenye semina ya uhabarisho juu ya majukumu ya waandishi wa habari kuibua na kuandika habari zinazohusu watu wenya ulemavu wa aina mbalimbali.

Na Nathaniel Limu

[SINGIDA] Jumla ya wanafunzi 37 wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi mchanganyiko Izenga wilaya ya Iramba mkoani Singida,wamelazimika kukatisha masomo yao kwa muda usiojulikana kutokana na shule hiyo kukosa chakula.   Imedaiwa wanafunzi hao wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shule Bunda yafungwa kwa kutapakaa kinyesi

SHULE ya Msingi Kibara B iliyoko wilayani Bunda, Mara, imefungwa na wananchi kwa muda kutokana na watu wasiofahamika kujisaidia kwenye vyumba vya madarasa, hali inayohatarisha afya za wanafunzi. Mwenyikiti wa...

 

10 years ago

Habarileo

Shule yafungwa kwa hofu ya simba mla watu

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.SHULE ya Msingi Saadani Chumvi iliyopo Kata ya Mkange wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, imefungwa baada ya wazazi kuwa na hofu baada ya watu wawili na mbuzi 70 kuliwa na Simba kutoka kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadani.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi Ileje kukosa masomo kwa siku 21

Wanafunzi wa Kidato cha Tano na Sita katika Shule ya Sekondari Ileje, iliyopo Wilaya ya Ileje Mkoa wa Mbeya, wamelazimika kupewa likizo ya lazima kwa muda wa siku 21, baada ya kuonekana kuhatarisha usalama na uvunjifu wa amani shuleni hapo kufuatia fujo zilizosababishwa na baadhi ya wanafunzi hao.

 

10 years ago

GPL

BAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28

 Mkuu wa shule ya sekondari ya Ifunda akizungumza na wanafunzi hao hivi karibuni. Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda. Uongozi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda  mkoani  Iringa  imewaita wanafunzi 28 kufika shuleni hapo octoba 2 ikiwa ni baada ya  shule  hiyo …

 

9 years ago

Mwananchi

Kufungwa shule kwa kukosa choo ni aibu

Jana katika ukurasa wa sita wa gazeti hili kulikuwa na habari iliyosomeka ‘shule kufungwa kwa kukosa choo’. Habari hiyo ilisema Shule ya Msingi Bufanka wilayani Bukombe mkoani Geita ipo hatarini kufungwa kutokana na choo cha wanafunzi kutitia hivyo kuhatarisha usalama wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani