Shule yafungwa kwa kukosa wanafunzi
Shule ya Msingi ya Namfua iliyopo wilayani hapa Mkoa wa Kilimanjaro imefungwa kwa kukosa wanafunzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Shule yafungwa kwa kukosa choo
SHULE ya Msingi Bugarama ambayo ipo katika eneo linalozunguka Mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold Mines Ltd imefungwa baada ya kukosa vyoo. Mkaguzi Mkuu...
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Shule Mara yafungwa kwa kukosa choo
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mkanyagano shule ya Kakamega: Wanafunzi 6 walifariki baada ya kukosa hewa
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
WANAFUNZI WENYE ALBINISM: Wakatisha masomo baada ya shule yao kukosa chakula Mkoani Singida!
Katibu Mkuu wa chama cha Albino Tanzania (TAS) Ziada Nsembo akizungumza kwenye semina ya uhabarisho juu ya majukumu ya waandishi wa habari kuibua na kuandika habari zinazohusu watu wenya ulemavu wa aina mbalimbali.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA] Jumla ya wanafunzi 37 wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi mchanganyiko Izenga wilaya ya Iramba mkoani Singida,wamelazimika kukatisha masomo yao kwa muda usiojulikana kutokana na shule hiyo kukosa chakula. Imedaiwa wanafunzi hao wa...
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Shule Bunda yafungwa kwa kutapakaa kinyesi
SHULE ya Msingi Kibara B iliyoko wilayani Bunda, Mara, imefungwa na wananchi kwa muda kutokana na watu wasiofahamika kujisaidia kwenye vyumba vya madarasa, hali inayohatarisha afya za wanafunzi. Mwenyikiti wa...
10 years ago
Habarileo15 Jun
Shule yafungwa kwa hofu ya simba mla watu
SHULE ya Msingi Saadani Chumvi iliyopo Kata ya Mkange wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, imefungwa baada ya wazazi kuwa na hofu baada ya watu wawili na mbuzi 70 kuliwa na Simba kutoka kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Wanafunzi Ileje kukosa masomo kwa siku 21
10 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Kufungwa shule kwa kukosa choo ni aibu