Shule yafungwa kwa hofu ya simba mla watu
SHULE ya Msingi Saadani Chumvi iliyopo Kata ya Mkange wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, imefungwa baada ya wazazi kuwa na hofu baada ya watu wawili na mbuzi 70 kuliwa na Simba kutoka kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 May
Shule yafungwa Bunda baada ya watu kujisaidia ovyo madarasani
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Shule yafungwa kwa kukosa choo
SHULE ya Msingi Bugarama ambayo ipo katika eneo linalozunguka Mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold Mines Ltd imefungwa baada ya kukosa vyoo. Mkaguzi Mkuu...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Shule yafungwa kwa kukosa wanafunzi
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Shule Bunda yafungwa kwa kutapakaa kinyesi
SHULE ya Msingi Kibara B iliyoko wilayani Bunda, Mara, imefungwa na wananchi kwa muda kutokana na watu wasiofahamika kujisaidia kwenye vyumba vya madarasa, hali inayohatarisha afya za wanafunzi. Mwenyikiti wa...
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Shule Mara yafungwa kwa kukosa choo
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XdT2ZvPaDHE/VeMWcwu1ohI/AAAAAAAD42s/3VwZXbTHT_M/s72-c/a597e70053406467714cda6c30c545cd.jpg)
SIMBA YAFUNGWA KWA MBIINDE NA YANGA DMV YAKUBALI YACHAPWA 5-2
![](http://3.bp.blogspot.com/-XdT2ZvPaDHE/VeMWcwu1ohI/AAAAAAAD42s/3VwZXbTHT_M/s640/a597e70053406467714cda6c30c545cd.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AlqE8hlHKSU/VeMWdvj7kdI/AAAAAAAD43E/mIP0DPlc0PY/s640/b5860da35036c4a1b94648dbdc7c1615.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3dOeZjUm6cY/VeMWb_Gf8II/AAAAAAAD42c/b00VIief0W4/s640/8ff7e74bb1686bfa8590ff94e7c71a53.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B3KCESEW4eI/VeMXqYxfkKI/AAAAAAAD43Y/EstL5E6dX0g/s640/4c93c18490e8d6bf38090bd251893427.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-45eqYoit0EE/VeMWZ96S3MI/AAAAAAAD410/Nz9r2Rre7N8/s640/1af3efe6f23bba995fbf97910a453a94.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KQ9gkSm3ZKY/VeMWaOPemdI/AAAAAAAD414/aSK1Ui-_q0I/s640/3b9d531300fc2461841193fb728f2e1e.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB1_pidwzKc/VeMWZ7DUVbI/AAAAAAAD418/i8CHBwSvXn4/s640/29e42a70613c33f470cafed3f9b848d9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yuyLS5xN2Yc/VeMWa9ym0lI/AAAAAAAD42U/JBNVtZNulxE/s640/630fc182a2137d3c19129ac2a1cee7c8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s4_c8PE2T8U/VeMWcTwYbKI/AAAAAAAD42o/IDu1pUC386M/s640/9824a28452ae53dc4f54714259fd4c9c.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eeblH_GAbh8/VeMWbFHn6zI/AAAAAAAD42M/z1TTroLlJQM/s640/69182c974485f53a0c4e3277ce22c477.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DCH4rhUidn0/VeMWcpcPFvI/AAAAAAAD42w/WEy1DdS8Ehc/s640/a4432d04c246dc46d74d35ef8f834154.jpg)
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Mamba mla watu auawa Morogoro
10 years ago
VijimamboNYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsikiliza diwani wa Nhavila, wilayani Masasi, Meja Ramadhan Chilumba, jana, katika sehemu ya mto, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha Manyuli ambako alitembelea watu waliojeruhiwa na wengine kuuawa na mamba, alipokwenda kutoa kifuta machozi kutoka wizarani kwake.
10 years ago
MichuziWaziri NYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsikiliza diwani wa Nhavila, wilayani Masasi, Meja Ramadhan Chilumba, jana, katika sehemu ya mto, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha Manyuli ambako alitembelea watu waliojeruhiwa na wengine kuuawa na
mamba, alipokwenda kutoa kifuta machozi kutoka wizarani kwake.
Katibu Tawala wilaya ya Masasi, Dunford Peter akimwonyesha ramani Waziri wa maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ya sehemu ya mto huo, wakati waziri huyo...