NYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsikiliza diwani wa Nhavila, wilayani Masasi, Meja Ramadhan Chilumba, jana, katika sehemu ya mto, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha Manyuli ambako alitembelea watu waliojeruhiwa na wengine kuuawa na mamba, alipokwenda kutoa kifuta machozi kutoka wizarani kwake. Katibu Tawala wilaya ya Masasi, Dunford Peter akimwonyesha ramani Waziri wa maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ya sehemu ya mto huo, wakati waziri huyo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWaziri NYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsikiliza diwani wa Nhavila, wilayani Masasi, Meja Ramadhan Chilumba, jana, katika sehemu ya mto, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha Manyuli ambako alitembelea watu waliojeruhiwa na wengine kuuawa na
mamba, alipokwenda kutoa kifuta machozi kutoka wizarani kwake.
Katibu Tawala wilaya ya Masasi, Dunford Peter akimwonyesha ramani Waziri wa maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ya sehemu ya mto huo, wakati waziri huyo...
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Mamba mla watu auawa Morogoro
10 years ago
Habarileo15 Jun
Shule yafungwa kwa hofu ya simba mla watu
SHULE ya Msingi Saadani Chumvi iliyopo Kata ya Mkange wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, imefungwa baada ya wazazi kuwa na hofu baada ya watu wawili na mbuzi 70 kuliwa na Simba kutoka kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7bVpUS*vq8TydFKu*sCJSaclNkxJzrhqGDer4O6WF9diX6jr2EJeEAga3blR6IAzn2SIOhg-1vZYZ8gduv*Q93K/1.jpg?width=650)
MAMBA WALA WATU WAUAWA SENGEREMA
10 years ago
Vijimambo22 Jan
HAWA NDO MAMBA WALA WATU WAUAWA SENGEREMA
![](http://api.ning.com/files/LzPfBre8N7bVpUS*vq8TydFKu*sCJSaclNkxJzrhqGDer4O6WF9diX6jr2EJeEAga3blR6IAzn2SIOhg-1vZYZ8gduv*Q93K/1.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/LzPfBre8N7Z4hPqL9-LGNFjZO6WcyVqL1rk*xfOsFYH3lV*ZlWA5*DoOwW7ltxpNoiIcgsoUrmK9svuM8L6d4xZ5K8FNAM-t/2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/LzPfBre8N7Zrq5O7VTorYpem2iAn8KRpnfPy-EIKy6s*pKKjchxxTa5Q2uLygNe2Ej79GDMC6yYonwJAiu9n7ZjxQveZoo7A/3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/LzPfBre8N7bkg45wgVieo0MzTADv8Jx8If00wsNYa833wF3I7*8cspFhCCcDhB3am2IITerfExdkR68TguRF2Ug00zat51kM/4.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bOOahD3zSRc/VVDR0ORyAoI/AAAAAAAHWuQ/Jr0aMay31F8/s72-c/IMG-20150508-WA0027.jpg)
WAZIRI NYALANDU AKAGUA MENO YA TEMBO YALIYOKAMATWA NA ASKARI WANYAMAPORI WILAYANI NAMTUMBO
![](http://1.bp.blogspot.com/-bOOahD3zSRc/VVDR0ORyAoI/AAAAAAAHWuQ/Jr0aMay31F8/s1600/IMG-20150508-WA0027.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q5A3kiclWko/VVDRyH8V2BI/AAAAAAAHWuE/rfx6qR7W6kY/s640/IMG-20150508-WA0025.jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Watu wenye silaha wajeruhi, wapora malori Masasi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Ok47WWRL6B09kIRfkCclcGvBqEtlEztjvcq3dkqso0EyltNg-4wB9PglgBjTXvsvyv3m7XA-AaevvrpKcBcCDGX/elizabetholsen7.jpg?width=650)
KRISMAS NA MLA CHA MWENZIE
10 years ago
Habarileo10 Jun
CCM ikisimamisha mla rushwa, itapoteza dola, asema Wassira
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira amesema iwapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya kosa kumsimamisha mgombea mla rushwa, kitapoteza dola.