Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMBA WALA WATU WAUAWA SENGEREMA

Mzoga wa mamba mmoja ukiwa umezungukwa na wanakijiji wa Kome-Mchangani. Mzoga wa mamba mwingine. Mzee aliyewatega mamba hao (aliyeketi) akiwa nyuma ya mzoga wa mamba mmojawapo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HAWA NDO MAMBA WALA WATU WAUAWA SENGEREMA

Mzoga wa mamba mmoja ukiwa umezungukwa na wanakijiji wa Kome-Mchangani.Mzoga wa mamba mwingine. Mzee aliyewatega mamba hao (aliyeketi) akiwa nyuma ya mzoga wa mamba mmojawapo. Mwanakijiji akiweka pozi juu ya mzoga wa mamba kuonesha furaha yake.WANAKIJIJI wa Kome-Mchangani wilayani Sengerema mkoani Mwanza, wamewaua mamba wawili wanaodaiwa kuua watu wawili na kuwajeruhi watu watatu.Mamba hao waliokuwa katika kingo za Ziwa Victoria kijijini hapo, walitajwa kuwa kero kubwa kiasi cha kusababisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Mamba mla watu auawa Morogoro

 Mkazi wa Kijiji cha Bwakila Chini, Kata ya Bwakila Chini, Maloda Sitini amefariki dunia baada ya kuliwa na mamba tukio lililotokea katikati ya mwezi uliopita katika Mto Mgeta, Wilaya ya Morogoro.

 

10 years ago

Vijimambo

NYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI


 WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsikiliza diwani wa Nhavila, wilayani Masasi, Meja Ramadhan Chilumba, jana, katika sehemu ya mto, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha Manyuli ambako alitembelea watu waliojeruhiwa na wengine kuuawa na mamba, alipokwenda kutoa kifuta machozi kutoka wizarani kwake.
 Katibu Tawala wilaya ya Masasi, Dunford Peter akimwonyesha ramani Waziri wa maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ya sehemu ya mto huo, wakati waziri huyo...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri NYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI



 WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsikiliza diwani wa Nhavila, wilayani Masasi, Meja Ramadhan Chilumba, jana, katika sehemu ya mto, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha Manyuli ambako alitembelea watu waliojeruhiwa na wengine kuuawa na
mamba, alipokwenda kutoa kifuta machozi kutoka wizarani kwake.

 Katibu Tawala wilaya ya Masasi, Dunford Peter akimwonyesha ramani Waziri wa maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ya sehemu ya mto huo, wakati waziri huyo...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wamasai wala mkong’oto na watu wasiojulikana ZNZ

Habari tulozipata si muda mrefu kwamba Wamasai wamepewa kichapo na watu wasiojulikana Kundi la Wamasai 8 walikuwa katika ghasia hizo ambapo walikuwa wakishambuliwa ba kundi la Ubayaubaya. Ugomvi ulianzia mitaa ya Darajabovu ambapo Wamasahai hao walikabiliana […]

The post Wamasai wala mkong’oto na watu wasiojulikana ZNZ appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama

“Pale haki inaponyimwa, pale umaskini unapoimarishwa, siyo watu, wala mali watakuwa salama”

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 9 wauawa Burundi

Watu tisa wameuawa usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 50 wauawa Pakistan

Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India

 

11 years ago

GPL

WATU 28 WAUAWA CHINA

Baadhi ya majeruhi katika shambulio hilo wakiwa hospitali. Miili ya watu waliouawa katika shambulio hilo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani