HAWA NDO MAMBA WALA WATU WAUAWA SENGEREMA
Mzoga wa mamba mmoja ukiwa umezungukwa na wanakijiji wa Kome-Mchangani.
Mzoga wa mamba mwingine.
Mzee aliyewatega mamba hao (aliyeketi) akiwa nyuma ya mzoga wa mamba mmojawapo.
Mwanakijiji akiweka pozi juu ya mzoga wa mamba kuonesha furaha yake.WANAKIJIJI wa Kome-Mchangani wilayani Sengerema mkoani Mwanza, wamewaua mamba wawili wanaodaiwa kuua watu wawili na kuwajeruhi watu watatu.Mamba hao waliokuwa katika kingo za Ziwa Victoria kijijini hapo, walitajwa kuwa kero kubwa kiasi cha kusababisha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7bVpUS*vq8TydFKu*sCJSaclNkxJzrhqGDer4O6WF9diX6jr2EJeEAga3blR6IAzn2SIOhg-1vZYZ8gduv*Q93K/1.jpg?width=650)
MAMBA WALA WATU WAUAWA SENGEREMA
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-Yaq1IkHnq1I/VCAGyB8eUbI/AAAAAAAABJ4/_BPKhVRDt48/s72-c/BIG-BROTHER-AFRICA.jpg)
HAWA NDO WATAKAOIWAKILISHA TANZANIA KWENYE BIG BROTHER AFRICA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yaq1IkHnq1I/VCAGyB8eUbI/AAAAAAAABJ4/_BPKhVRDt48/s1600/BIG-BROTHER-AFRICA.jpg)
M-Net na wameendelea na utaratibu wa kutangaza washiriki wa shindano hilo kutoka nchi mbalimbali Africa, na katika majina matatu yaliyotajwa yamemjumuisha Mtanzania wa pili atakayewakilisha katika shindano hilo, mrembo Irene Laveda.
Irene ataungana na Idrisa kuiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo yatakayochukua siku 63 badala ya siku takribani 90 zilizozoeleka.
Ingia kutazama picha zao...
![](http://1.bp.blogspot.com/-cm7VznTzRbk/VCAGScYZIlI/AAAAAAAABJo/y7eBU-R-nz0/s1600/Idris.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WU1fzc2ZKU0/VCAGWOsqR2I/AAAAAAAABJw/ghLq5nVfsCc/s1600/laveda.jpg)
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Mamba mla watu auawa Morogoro
10 years ago
VijimamboNYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsikiliza diwani wa Nhavila, wilayani Masasi, Meja Ramadhan Chilumba, jana, katika sehemu ya mto, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha Manyuli ambako alitembelea watu waliojeruhiwa na wengine kuuawa na mamba, alipokwenda kutoa kifuta machozi kutoka wizarani kwake.
10 years ago
MichuziWaziri NYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsikiliza diwani wa Nhavila, wilayani Masasi, Meja Ramadhan Chilumba, jana, katika sehemu ya mto, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha Manyuli ambako alitembelea watu waliojeruhiwa na wengine kuuawa na
mamba, alipokwenda kutoa kifuta machozi kutoka wizarani kwake.
Katibu Tawala wilaya ya Masasi, Dunford Peter akimwonyesha ramani Waziri wa maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ya sehemu ya mto huo, wakati waziri huyo...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Wamasai wala mkong’oto na watu wasiojulikana ZNZ
Habari tulozipata si muda mrefu kwamba Wamasai wamepewa kichapo na watu wasiojulikana Kundi la Wamasai 8 walikuwa katika ghasia hizo ambapo walikuwa wakishambuliwa ba kundi la Ubayaubaya. Ugomvi ulianzia mitaa ya Darajabovu ambapo Wamasahai hao walikabiliana […]
The post Wamasai wala mkong’oto na watu wasiojulikana ZNZ appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama
10 years ago
Dewji Blog24 May
Washindi wa tuzo za Watu 2015, hawa hapa!!
Pichani wakati wa tuzo za watu ilivyokuwa baada ya washindi kukabidhiwa tuzo zao..
Na Andrew Chale, Modewji blog
Hatimaye usiku wa Mei 22 Tanzania iliandika historia nyingine kwa kushuhudia utoaji wa tuzo maalum zijulikanazo kama TUZO ZA WATU 2015, zilizofanyika jijini Dar es Salaam.
Washindi hao ni katika vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo ya washindi yaliingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi...